• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya Mbeya

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mifugo na uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Ufugaji wa nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Wataalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
      • Taarifa ya fedha
      • Mpango wa Mapato na Matumizi
      • Mapato na Matumizi ya Mwezi
      • Taarifa ya miradi ya maendeleo
      • Taarifa ya fedha ya mwaka
      • Mihtasari ya Mikutano ya Baraza
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Picha mwendo
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

Kupata leseni ya biashara

MASHARTI YA KUPATA LESENI YA BIASHARA

Mtu yeyote raia wa Tanzania anayo haki ya kupatiwa leseni ya biashara ili mradi awe ametimiza umri wa miaka kumi na nane (18), awe mwenye akili timamu ambaye hajawahi kupatikana na kosa la jinai na awe na eneo lakufanyia biashara linalokubalika kisheria.

Kwa mtu ambaye si raia wa Tanzania anapaswa kuwa na kibali kinachomhusu kufanya biashara nchini kutoka idara ya uhamiaji

UTARATIBU WA KUPATA LESENI YA BIASHARA

Mwombaji anapaswa kujaza fomu ya maombi 9TFN 2110 kikamilifu na kuambatanisha kivuli cha:

  • Jina la biashara kama sio mtu binafsi (Certificate of Incorporation or Registration)
  • “Memorandum and Article of Allocation” kama ni kampuni
  • Hati ya kiuwakili (prowess of a Honey) kama wenye hisa wote wa Kampuni wapo nje ya nchi.
  • Ushahidi wa maandishi kuwa anamahali pa kufanyia biashara (Kwa mfano hati za nyumba, mkataba wa upangishaji, risiti za malipo ya kodi za majengo au ardhi
  • Hati ya kujiandikisha kama mlipa kodi TIN
  • Kwa leseni zinazodhibitiwa na mamlaka mballmbali, kwa mfano (TFDA, EWURA, TAURA, CRD, TILLI) n.k lazima mwombaji awe na leseni husika kabla ya kuomba leseni ya biashara. Fomu ya maombi ya biashara (TFN 211) hutolewa kwa ada ya Tshs. 1,000/=
  • Baada ya kujaza fomu na viambatanisho, maombi hupitishwa ngazi zinazotakiwa kisheria – Mpango Miji na Afya. Baada ya hapo leseni hutolewa ndani ya siku moja au mbili na si zaidi
  • Angalizo: kwa utaratibu wa kuanzia mwaka 2004/2005 leseni mpya hutolewa bila malipo ya ada za leseni na leseni zote hutolewa mara moja tu hadi sheria mpya (BARA) itakapoanza kutumika

Matangazo

  • TANGAZO LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA April 29, 2020
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2021 HALMASHAURI YA MBEYA December 19, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA April 23, 2020
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI December 17, 2020
  • Tazama zote

Habari mpya

  • KATEMBA ATANGAZA MATOKEO YA UBUNGE

    October 29, 2020
  • hakikisheni mnafuata sheria, kanuni, miongozo na maelekezo yanayotolewa na tume ya uchaguzi- Katemba

    October 26, 2020
  • wanaorudisha mikopo kwa wakati wakopeshwe vyombo vya usafiri-Chalamila

    July 11, 2020
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MBEYA MMENISAPRIZE-CHALAMILA

    June 20, 2020
  • Tazama zote

Picha Mwendo

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
Picha mwendo zaidi

Viunganishi vya Haraka

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Mahali

Wasiliana nasi

    Mbaliz Road

    Sanduku la posta: 599

    Simu ya mezani: 025-2502260

    Simu ya mkononi: 0762210758

    Baruapepe: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma zetu

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.