• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya Mbeya

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mifugo na uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Ufugaji wa nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Wataalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
      • Taarifa ya fedha
      • Mpango wa Mapato na Matumizi
      • Mapato na Matumizi ya Mwezi
      • Taarifa ya miradi ya maendeleo
      • Taarifa ya fedha ya mwaka
      • Mihtasari ya Mikutano ya Baraza
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Picha mwendo
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

CCM MKOA WAPONGEZA UJENZI WA MIRADI, HALMASHAURI YA WILAYA YA MBEYA.

Imewekwa: February 22nd, 2020

Viongozi na watumishi wa halmashauri ya wilaya ya Mbeya waikosha kamati ya CCM mkoa wa Mbeya kwa usimamizi mzuri wa miradi ya maendeleo.

Hayo yamebainiwa wakati wa ziara ya kutembelea na kukagua miradi ya maendeleo kama ilivyoahidiwa na chama cha mapinduzi (CCM) wakati wa kampeni za uchaguzi za mwaka 2015 kwa lengo la kujua utekelezaji wa ilani ya chama katika halmashauri ya wilaya ya Mbeya.

Mwenyekiti wa CCM mkoa wa mbeya Ndg Jacob Mwakasole amesema kuwa anawapongeza viongozi na watumishi wa halmashauri ya wilaya ya Mbeya kwa usimamizi na utekelezaji mzuri wa miradi ya maendeleo.

“Niwapongezi kwa usimamizi mzuri wa majengo haya kwa uaminifu kwani majengo haya yanaakisi fedha zilizotolewa , watu mmefanya vitu vyenye uhakika sisi kama mkoa tumeridhika na hiki tulichokiona, umoja wenu unadhiilisha kuwa mpo vizuri, asanteni wote kwa kazi nzuri.” Mwakasole.

Naye katibu wa CCM mkoa wa Mbeya ndg. Solomoni Itunda amesema kuwa miradi hiyo itakapokamilika kipaumbele kiwe katika kuhudumia wananchi wanyonge.

“Miradi hii imejegwa kwa gharama kubwa kwa ajili ya wanyonge hivyo kama kuna mtu amekuja kutibiwa na hana fedha za matibabu atibiwe kwanza mengine baadaye na kwa upande wa wanafunzi sitegemei kuona mwalimu anamfukuza mwanafunzi kwa kosa la kutokulipa ada, mkamate mzazi wake mkubaliane ni kwa jinsi gani mtalipa hizo ada lakini si kwa kumsimamisha mwanafunzi masomo”. Itunda

Katika ziara ya kamati ya CCM mkoa wa Mbeya miradi iliyotembelewa ni pamoja na Hospital ya wilaya, shule ya sekondari wasichana Galijembe, na ujenzi wa soko la Tunduma Road.





Matangazo

  • VITUO VYA KUJIANDIKISHIA ORODHA YA WAPIGA KURA October 11, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA KWA KAZI YA MSAIDIZI WA WATOTO MAHAKAMANI February 02, 2022
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UTOAJI WA ANWANIZA MAKAZI March 04, 2022
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA March 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • KIAPO CHA UTII KWA WAUGUZI MBEYADC

    May 16, 2025
  • BI. ERICA AMEMTEMBELEA ASKALI ALIELAZWA HOSPITALI YA IFISI

    May 08, 2025
  • Mapokezi ya Mhe Mchengerwa MbeyaDc

    April 26, 2025
  • Karibu Mhe. Mchengerwa

    April 25, 2025
  • Tazama zote

Picha Mwendo

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
Picha mwendo zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MBEYA

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Mahali

Wasiliana nasi

    Mbaliz Road

    Sanduku la posta: 599

    Simu ya mezani: 025-2502260

    Simu ya mkononi: 0762210758

    Baruapepe: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma zetu

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.