• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya Mbeya

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mifugo na uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Ufugaji wa nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Wataalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
      • Taarifa ya fedha
      • Mpango wa Mapato na Matumizi
      • Mapato na Matumizi ya Mwezi
      • Taarifa ya miradi ya maendeleo
      • Taarifa ya fedha ya mwaka
      • Mihtasari ya Mikutano ya Baraza
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Picha mwendo
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

KATEMBA ATANGAZA MATOKEO YA UBUNGE

Imewekwa: October 29th, 2020

Msimamizi wa uchaguzi  jimbo la Mbeya vijijini Ndg Stephen E Katemba  amemtangaza na kumpa cheti cha ushindi mgombea wa Chama cha Mapinduzi  ndg. Oran Manase Njeza kuwa mshindi wa nafasi ya ubunge katika jimbo la Mbeya vijijini.

Mbali na kumtangaza mshindi Katemba ametangaza matokeo ya nafasi ya ubunge katika jimbo la Mbeya vijijini kwa mchaganuo wa mgombea wa chama cha CUF ndg Edson Mwajungwa kuwa amepata kura 194 sawa na  0.2%, Chama cha NCCR ndg Jubeki Mwalugombo aliyepata kura 341 sawa na  0.4%, Philipo Mwanatega wa ACT kura 1,408 ikiwa ni  1.8%, Joseph Mjenga wa chama cha CHADEMA kwa kura 25,139 kwa  31.7% pamoja na mgombea wa chama cha mapinduzi  ndg Oran Manase Njeza wa Chama Cha Mapinduzi aliye ibuka mshindi wa uchaguzi kwa nafasi ya ubunge kwa kura 52,343 kwa 65.9%.

 Aidha Katika jimbo la Mbeya vijijini kulikuwa na wagombea wa nafasi 5 ya nafasi ya ubunge  huku  wapiga kura waliojiandisha wakiwa ni   184,495,  na waliopiga kura ni 81,476 . Kura halali  zilikuwa 79,425 na kura  zilizoharibika zikiwa 2,051.

Na katika nafasi ya udiwani chama cha mapinduzi kimeshinda kata 27 kati ya kata 28  huku CHADEMA ikishinda  kata moja  na vyama vingine kutopata ushindi.

                                                                                     

Matangazo

  • TANGAZO LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA April 29, 2020
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2021 HALMASHAURI YA MBEYA December 19, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA April 23, 2020
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI December 17, 2020
  • Tazama zote

Habari mpya

  • SHULE YA MSINGI MKOMBOZI YAPOKEA MADAWATI 12

    February 15, 2021
  • UONGOZI WA HALMASHAURI WATAKIWA KUTENGA FEDHA KWA AJILI YA WATU WENYE MAHITAJI MAALUMU.

    February 11, 2021
  • KATEMBA ATANGAZA MATOKEO YA UBUNGE

    October 29, 2020
  • hakikisheni mnafuata sheria, kanuni, miongozo na maelekezo yanayotolewa na tume ya uchaguzi- Katemba

    October 26, 2020
  • Tazama zote

Picha Mwendo

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
Picha mwendo zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MBEYA

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Mahali

Wasiliana nasi

    Mbaliz Road

    Sanduku la posta: 599

    Simu ya mezani: 025-2502260

    Simu ya mkononi: 0762210758

    Baruapepe: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma zetu

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.