• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya Mbeya

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mifugo na uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Ufugaji wa nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Wataalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
      • Taarifa ya fedha
      • Mpango wa Mapato na Matumizi
      • Mapato na Matumizi ya Mwezi
      • Taarifa ya miradi ya maendeleo
      • Taarifa ya fedha ya mwaka
      • Mihtasari ya Mikutano ya Baraza
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Picha mwendo
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

Fedha

Idara ya Fedha na Biashara

Idara hii inahusika na kukusanya mapato na kudhibiti matumizi kwa kutumia miongozo ya kitaifa na kimataifa.

NA

HUDUMA ZINAZOHUSIKA

VIWANGO VYA MUDA

 KITENGO CHA MAPATO:

Kupokea fedha kutoka kwa watendaji/wakusanya mapato.
Ndani ya dakika 5 kwa mwenye vitabu visivyozidi 3.

Kukatia stakabadhi fedha kutoka Hazina na sehemu nyinginezo
Ndani ya dakika 10 kwa “Bank Statement” zisizozidi 10.

Kupokea vitabu vilivyokwisha tumika mara baada ya kutumika na kuhakikiwa.
Ndani ya dakika 3 kwa kila kitabu

Kutoa vitabu vya kukusanyia mapato kwa wakusanya mapato
Ndani ya dakika 3 kwa kila kitabu

Kusimamia ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri na kufanya ufuatiliaji.
Ndani ya siku 3 kila wiki.
KITENGO CHA MATUMIZI:

Uandishi wa hati za malipo kutafanyika kwa maombi yaliyopitishwa na afisa mhasibu
Ndani ya dakika 3

Kutoa hundi kwa wateja na kuzitasajili katika rejista kabla ya kuchukuliwa.
Ndani ya dakika 3 kwa kila hundi

Kujibu hoja za Mkaguzi wa Ndani na wa Nje. Mara baada ya hoja kuibuliwa.
Ndani 15

Kuhakiki Mihutasari ya malipo na hundi toka vijijini baada ya ukaguzi.
Ndani ya dakika 5
KITENGO CHA KUFUNGA HESABU:

Kuandaa “Recurrent Budget” na kuiwasilisha sehemu husika.
Ndani ya miezi 4 (Januari – April).

Kuandaa na kufunga hesabu za mwisho wa mwaka kwa idara zote za Halmashauri
Ndani ya miezi 3

Kuandaa taarifa za robo mwaka na kuzituma kwa RAS, TAMISEMI na kuwasilisha katika vikao vya kisheria.
Siku tano (5)

Kuandaa taarifa za fedha kwa ajili ya LAAC.
Kila baada ya miezi 3.

Matangazo

  • VITUO VYA KUJIANDIKISHIA ORODHA YA WAPIGA KURA October 11, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA KWA KAZI YA MSAIDIZI WA WATOTO MAHAKAMANI February 02, 2022
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UTOAJI WA ANWANIZA MAKAZI March 04, 2022
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA March 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • KIAPO CHA UTII KWA WAUGUZI MBEYADC

    May 16, 2025
  • BI. ERICA AMEMTEMBELEA ASKALI ALIELAZWA HOSPITALI YA IFISI

    May 08, 2025
  • Mapokezi ya Mhe Mchengerwa MbeyaDc

    April 26, 2025
  • Karibu Mhe. Mchengerwa

    April 25, 2025
  • Tazama zote

Picha Mwendo

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
Picha mwendo zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MBEYA

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Mahali

Wasiliana nasi

    Mbaliz Road

    Sanduku la posta: 599

    Simu ya mezani: 025-2502260

    Simu ya mkononi: 0762210758

    Baruapepe: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma zetu

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.