• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya Mbeya

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mifugo na uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Ufugaji wa nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Wataalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
      • Taarifa ya fedha
      • Mpango wa Mapato na Matumizi
      • Mapato na Matumizi ya Mwezi
      • Taarifa ya miradi ya maendeleo
      • Taarifa ya fedha ya mwaka
      • Mihtasari ya Mikutano ya Baraza
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Picha mwendo
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

BILION 4.3 KUKUSANYWA KUTOKA KATIKA VYANZO VYA NDANI KWA MWAKA WA FEDHA 2022/2023

Imewekwa: February 11th, 2022

Baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya Mbeya limepitisha bajeti ya mwaka wa fedha 2022/2023 huku ikitegemea kukusanya kiasi cha shilingi 4.3 bilioni kutoka katika vyanzo vya mapato ya ndani.

Akiwasilisha rasimu ya bajeti ya mwaka 2022/2023 mbele ya baraza la madiwani Afisa Mipango wa halmashauri ya wilaya ya Mbeya Ndg. Filbert Mbwilo amebainisha kuwa kwa halmashauri ya wilaya ya Mbeya inatarajia kukusanya na kutumia jumla ya shilingi 64,671,904,837.07 kutoka katika vyanzo vya mapato ya ndani serikali kuu na wahisani.

Katika rasimu ya bajeti bajet hii imependekezwa kuwa na mradi mmoja wa maendeleo.Katika kutekeleza adhma hii kiasi ya shilingi 500,000,000.00 kimetengwa kwajili ya ujenzi wa kituo cha Afya kitakacho jengwa eneo la Mamlaka ya mji mdogo Mbalizi. Aidha mradi huu utakua kipaumbele cha halmashauri ya wilaya ya mbeya katika mwaka wa fedha 2022/2023

Baadhi ya madiwani wameona kuwa bajeti hiyo inatoa matumaini kuwa huenda ikawavusha kwani imejaribu kugusa katika kila maeneo kama ya Elimu, Afya na kilimo.

“Bajeti hii imegusa kila maeneo ya wananchi tunaona mwelekeo kujenga kituo cha Afya Mamlaka ya mji mdogo mbalizi ambacho kitakua msaada mkubwa sana kwa wananchi wa eneohilo na kata jirani pia kitachangia ongezeko la mapato ya ndani ya halmashauri ” Mhe. Eng. Boniface S. Njombe  Diwani kata ya Ulenje   

“Nimefurahishwa sana na hii bajeti kwani inaonesha mwelekeo wa kupambana na ukatili wa kijinsia katika eneo letu, pia imezingatia sana changamoto za wanafunzi wakike katika shule zetu ” Mhe. Pili A. Mwatowe Diwani viti maalum.

Matangazo

  • VITUO VYA KUJIANDIKISHIA ORODHA YA WAPIGA KURA October 11, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA KWA KAZI YA MSAIDIZI WA WATOTO MAHAKAMANI February 02, 2022
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UTOAJI WA ANWANIZA MAKAZI March 04, 2022
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA March 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • KIAPO CHA UTII KWA WAUGUZI MBEYADC

    May 16, 2025
  • BI. ERICA AMEMTEMBELEA ASKALI ALIELAZWA HOSPITALI YA IFISI

    May 08, 2025
  • Mapokezi ya Mhe Mchengerwa MbeyaDc

    April 26, 2025
  • Karibu Mhe. Mchengerwa

    April 25, 2025
  • Tazama zote

Picha Mwendo

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
Picha mwendo zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MBEYA

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Mahali

Wasiliana nasi

    Mbaliz Road

    Sanduku la posta: 599

    Simu ya mezani: 025-2502260

    Simu ya mkononi: 0762210758

    Baruapepe: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma zetu

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.