• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya Mbeya

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mifugo na uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Ufugaji wa nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Wataalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
      • Taarifa ya fedha
      • Mpango wa Mapato na Matumizi
      • Mapato na Matumizi ya Mwezi
      • Taarifa ya miradi ya maendeleo
      • Taarifa ya fedha ya mwaka
      • Mihtasari ya Mikutano ya Baraza
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Picha mwendo
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

DC MALISA AFUNGUA KAMPENI YA CHANJO YA POLIO AWAMU YA PILI.

Imewekwa: October 21st, 2023

Chanjo ya polio awamu ya pili yafunguliwa leo rasmi na mkuu wa wilaya ya mbeya Mhe Benno Malisa ambayo itaanza tarehe 26-29 mwezi huu.

Akizungumza na wajumbe wa chanjo wa Wilaya amesema chanjo ya awamu ya kwanza ilifanyika vyema na kufikia lengo ambapo asilimia 120 ya watoto walipatiwa chanjo hiyo.

Aidha amewataka waratibu wa chanjo halmashauri zote mbili kuongeza hamasa na kutoa elimu ya kutosha kwa kuwashirikisha viongozi wa vijiji, mabalozi na wenyeviti wa mitaa kwa maana wao ndo wapo karibu zaidi na wananchi wao.

Ameongeza pia lengo la chanjo ya hii ya awamu ya pili ni kama ya mwanzo kuchanja watoto zaidi ya laki 3 “watoto zaidi ya laki tatu (3) wanatakiwa kupatiwa chanjo hii katika halmashauri zote mbili yaani mbeya vijijini na mbeya jiji” alisema malisa.

Malisa amesema kuwa awamu ya kwanza mkoa wa mbeya uliongoza na kuwa wakwanza, amewashukuru viongozi wa dini na kimila kwa ushirikiano na utaratibu mzuri wa kufikisha taarifa kwa wananchi, amewaomba kuongeza hamasa ili watoto wengi kupatiwa chanjo hiyo ili watoto wetu wawe na afya nzuri ya akili.

Mkuu wa Wilaya amesema vyombo vya ulinzi na usalama vipo na vitasimamia jukumu lote la utoaji wa chanjo ili liende vyema na kufikia lengo tarajiwa. Amewapongeza wote waloshiriki zoezi la awamu ya kwanza na kuwataka juhudi ile itumike tena awamu hii ya pili.

Wito umetolewa kwa walimu wa shule za msingi kuwaandaa watoto mapema kutokana na mtihani wa darasa la nne unaoanza tarehe 25/10/2023, watoa chnjo watakuwa na siku moja tu ya kutoa chanjo mashuleni ameyasema hayo mratibu wa chanjo bi Zuhura Mohamed.

Matangazo

  • VITUO VYA KUJIANDIKISHIA ORODHA YA WAPIGA KURA October 11, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA KWA KAZI YA MSAIDIZI WA WATOTO MAHAKAMANI February 02, 2022
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UTOAJI WA ANWANIZA MAKAZI March 04, 2022
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA March 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • KIAPO CHA UTII KWA WAUGUZI MBEYADC

    May 16, 2025
  • BI. ERICA AMEMTEMBELEA ASKALI ALIELAZWA HOSPITALI YA IFISI

    May 08, 2025
  • Mapokezi ya Mhe Mchengerwa MbeyaDc

    April 26, 2025
  • Karibu Mhe. Mchengerwa

    April 25, 2025
  • Tazama zote

Picha Mwendo

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
Picha mwendo zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MBEYA

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Mahali

Wasiliana nasi

    Mbaliz Road

    Sanduku la posta: 599

    Simu ya mezani: 025-2502260

    Simu ya mkononi: 0762210758

    Baruapepe: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma zetu

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.