• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya Mbeya

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mifugo na uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Ufugaji wa nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Wataalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
      • Taarifa ya fedha
      • Mpango wa Mapato na Matumizi
      • Mapato na Matumizi ya Mwezi
      • Taarifa ya miradi ya maendeleo
      • Taarifa ya fedha ya mwaka
      • Mihtasari ya Mikutano ya Baraza
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Picha mwendo
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

DED KATEMBA ATANGAZA NEEMA KWA WAKAZI WA KIJIJI CHA ILUNGU.

Imewekwa: October 11th, 2023

Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya Wilaya Mbeya ndug Stephen E. Katemba ametembelea kituo cha afya Ilungu na kuwatangazia kuwa kituo hicho kitafunguliwa rasmi tarehe 15/11/2023.  Ni kilio cha muda mrefu cha wanakijiji hao kuiomba serikali kukifungua kituo hicho cha afya.

Katemba ameyasema hayo kwenye mkutano na wanakijiji walio kuwa wamekusanyika kwenye zahanati hiyo. “kuanzia wiki ijayo mhandisi atakuwepo hapa kuangalia na kutathmini kiasi cha fadha zinazohitajika ili ujenzi ukamilike na kufikia tarehe 15/11/2023 kituo hiki kianze kufanya kazi” alisema ndug Katemba.

Mkurugenzi Mtendaji aliongeza kuwa kiasi cha shilingi million 26 kimetengwa kwa ajili ya kumalizia sehemu ndogondogo zilizobaki, fedha ambayo imeletwa kutoka serikali kuu kwa ajili ya afya. Aliwaeleza wanakijiji wa Ilungu jinsi Mhe Rais anavyowapenda na kuwajali kwa kuleta fedha hizo kwa ajili ya maendeleo ya Kata hiyo.

Aidha Mkurugenzi mtendaji amemuagiza mganga mkuu wa halmashauri ya wilaya Mbeya kuhakikisha gari la wagonjwa linaletwa wiki hii kijijini hapo ili kuweza kuwasaidia wagonjwa na wakinamama wajawazito kuwafikisha hospital kubwa iliopo mbali na Kijiji hicho.

Mkurugenzi mtendaji alimuahidi diwani wa Ilungu kukarabati barabara ambayo diwani huyo ndug Mwakasege Ibrahim alimuomba Mkurugenzi Mtendaji alipotembelea Kata hiyo. “nimemuahidi Diwani kuanzia wiki ijayo barabara ya Kikondo hadi Mswiswi itaanza kufanyiwa ukarabati, sijaahidi lami ila ukarabati uliopo ndani ya uwezo wetu halmashauri tutafanya ili kuweza kukusanya mapato vyema” alisema Katemba.

Ndugu Katemba alitembelea pia kijiji cha Shango na kujionea maendeleo makubwa ya ujenzi wa zahanati ambayo imejengwa kwa nguvu za wananchi, aliwapongeza wanakijiji hao na kuwaomba waendelee na ujenzi huo ila kwa kufata ramani ya ujenzi wa kisasa Zaidi na kuwaahidi kushirikiana nao kuleta maendeleo kijijini hapo.  

Mkurugenzi Mtendaji aliwatoa hofu wanakijiji kwa kuwaambia kwamba Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ameleta million 42 za maendeleo katika Kata hiyo “Tumshukuru mama etu na Rais wetu wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuleta million 42 katika kata hii kwa ajili ya Zahanati ya Masese” alisema katemba.

Mwisho Mkurugenzi Mtendaji alifikisha salam za Mkuu wa Mkoa wa Mbeya kuwa anawapenda sana, pia alifikisha salaam za Mkuu wa Wilaya ambaye hii ilikuwa ziara yake ila akapata dharula ya kiserikali.  

Matangazo

  • VITUO VYA KUJIANDIKISHIA ORODHA YA WAPIGA KURA October 11, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA KWA KAZI YA MSAIDIZI WA WATOTO MAHAKAMANI February 02, 2022
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UTOAJI WA ANWANIZA MAKAZI March 04, 2022
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA March 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • KIAPO CHA UTII KWA WAUGUZI MBEYADC

    May 16, 2025
  • BI. ERICA AMEMTEMBELEA ASKALI ALIELAZWA HOSPITALI YA IFISI

    May 08, 2025
  • Mapokezi ya Mhe Mchengerwa MbeyaDc

    April 26, 2025
  • Karibu Mhe. Mchengerwa

    April 25, 2025
  • Tazama zote

Picha Mwendo

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
Picha mwendo zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MBEYA

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Mahali

Wasiliana nasi

    Mbaliz Road

    Sanduku la posta: 599

    Simu ya mezani: 025-2502260

    Simu ya mkononi: 0762210758

    Baruapepe: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma zetu

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.