• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya Mbeya

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mifugo na uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Ufugaji wa nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Wataalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
      • Taarifa ya fedha
      • Mpango wa Mapato na Matumizi
      • Mapato na Matumizi ya Mwezi
      • Taarifa ya miradi ya maendeleo
      • Taarifa ya fedha ya mwaka
      • Mihtasari ya Mikutano ya Baraza
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Picha mwendo
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

DKT.BITEKO AWASILI MBEYA KWA ZIARA YA KIKAZI.

Imewekwa: February 19th, 2024

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati , Mhe Doto Biteko, leo amewasili Mkoani Mbeya kwa ziara ya kikazi, Ziara ambayo itahusisha ukaguzi wa miradi mbalimbali ya umeme Mkoani hapa.

Akiwa katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Songwe, Dkt Biteko amepokelewa na viongozi mbalimbali wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Juma Zuberi Homera.

Katika kikao chake na Mkuu wa Mkoa wa MbeyaDkt. Biteko ameeleza jitihada zinazofanywa na Serikali ya awamu ya sita katka Nyanja mbalimbali ikiwemo Elimu, Siasa na Nishati.

Katika Sekta ya Nishati, Dkt. Biteko ameeleza kuwa, upungufuwa umeme nchini ni kati ya megawati 300 hadi 190 lakini kwa sasa kuna matumaini makubwa kwani mradi wa Julius Nyerere (JNHPP) unatarajiwa kuingiza megawati 235 katika gridi ya Taifa mwezi huu na matumaini mengine ni kutoka Mradi wa umeme wa Rusumo ambao utaingiza katika gridi megawati 27.

Amesema kuwa kiasi hicho cha umemekitakapoingia kwenye gridi ya taifa kitaondoa hali ya sasa ya mahitaji ya umeme kuwa makubwakuliko uzalishaji na pia kuiwezesha Serikali kuendelea kufanya maboreshokwenye miundombinu ya umeme.

Amesema kuwa kwa Mkoa wa Mbeya ambao mahitaji yake ni kati megawati 70 na 74 ambapo kwa sasa wanapata umeme wa megawati 51 na kueleza kuwa jitihada zinazoendelea sasa zitapelekea Mkoa huu pia kupata umeme kulingana na mahitaji.

Aidha Dkt Biteko amepongeaza Mkoa wa Mbeya kwa kufanya vizuri katika ukusanyaji wa mapato, utekelezaji wa miradi ya maendeleao, pamona na usimamizi mzuri wa sekta ya elimu ambao Watoto wanaostaili Kwenda shule wameripoti zaidi ya asilimia 70.

Dkt Biteko amesisitiza viongozikufuata agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia S. Hassan la kuwa, tofauti ya kiitikadi ya vyama vya siasa isifanye wananchi kuwa maadui bali watu wabishane kwa hoja huku kipaumbele kikiwa ni maendeleo ya nchi.

Kwa upande wake mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe Juma Zuberi Homera amemueleza Naibu Waziri Mkuu kuwashughuli za kiuchumi katika mkoa huu zinaendelea vizuri na katika mwaka 2023/2024 mkoa ulifanikiwa kukusanya mapato ya shilingi Bilioni 49 ikiwa ni zaidi ya asilimia 105.

Mhe homera ameongeza kuwa utekelezaji wa miradi ya umeme inaendelea vizuri ikiwemo ya upelekaji umeme vijijini,vitongojini na migodini. Ameongeza kuwa katika Elimu Mkoa wa Mbeya umekuwa na ufaulu mzuru huku Watoto wanaopaswa Kwenda shule , wakiripoti zaidi ya asilimia 70.

Matangazo

  • VITUO VYA KUJIANDIKISHIA ORODHA YA WAPIGA KURA October 11, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA KWA KAZI YA MSAIDIZI WA WATOTO MAHAKAMANI February 02, 2022
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UTOAJI WA ANWANIZA MAKAZI March 04, 2022
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA March 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • KIAPO CHA UTII KWA WAUGUZI MBEYADC

    May 16, 2025
  • BI. ERICA AMEMTEMBELEA ASKALI ALIELAZWA HOSPITALI YA IFISI

    May 08, 2025
  • Mapokezi ya Mhe Mchengerwa MbeyaDc

    April 26, 2025
  • Karibu Mhe. Mchengerwa

    April 25, 2025
  • Tazama zote

Picha Mwendo

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
Picha mwendo zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MBEYA

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Mahali

Wasiliana nasi

    Mbaliz Road

    Sanduku la posta: 599

    Simu ya mezani: 025-2502260

    Simu ya mkononi: 0762210758

    Baruapepe: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma zetu

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.