• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya Mbeya

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mifugo na uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Ufugaji wa nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Wataalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
      • Taarifa ya fedha
      • Mpango wa Mapato na Matumizi
      • Mapato na Matumizi ya Mwezi
      • Taarifa ya miradi ya maendeleo
      • Taarifa ya fedha ya mwaka
      • Mihtasari ya Mikutano ya Baraza
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Picha mwendo
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YAKAGUA MIRADI INAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU

Imewekwa: May 14th, 2024

Kamati ya Ulinzi na Usalama (KUU) ya Wilaya ya Mbeya leo tarehe 14 Mei 2024 imefanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo iliyochaguliwa na Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya kwa ajili ya kukaguliwa,kuwekewa jiwe la msingi na kuzinduliwa na Mwenge wa Uhuru hapo mwezi Augusti mwaka huu.

Mwenge wa Uhuru unatarajiwa kufika Mkoa wa Mbeya tarehe 24. 8. 2024 ukitokea Mkoa wa Tabora na kupokelewa katika Wilaya ya Chunya ambapo utazunguka kukagua, kuweka mawe ya msingi na kuzindua miradi mbalimbali ya maendeleo.

Aidha katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya, Mwenge wa Uhuru utapokelewa tarehe 30. 8.2024 katika viwanja vya shule ya Msingi Simambwe ambapo utazungukia miradi ya Elimu Sekondari, Elimu Msingi, Afya, Vyanzo vya maji na miradi ya Maji ambayo tayari maji yake yanatoka na kuwasaidia wananchi huku zikiungwa juhudi za Mhe Rais za kumtua mama ndo kichwani kwa kuwaletea maji wananchi karibu yao.

Kamati ya Ulizi na Usalama ikiongozwa na Mkuu wa Wilaya Mhe Beno Malisa wametoa maboresho katika miradi inayohitaji kuboreshwa pia wamepongea juhudi na jitihada za Halmashauri kwenye uchaguzi wa miradi.

Katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya miradi yenye thamani ya shilingi bilioni 1.6 itapitiwa na Mwenge wa Uhuru hapo mwenzi wa nane, ukipokelewa Simambwe, mkesha utakuwa stendi yam abasi Mbalizi na utakabithiwa Mkoa wa Songwe katika Kijiji cha Infekenya.

Matangazo

  • VITUO VYA KUJIANDIKISHIA ORODHA YA WAPIGA KURA October 11, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA KWA KAZI YA MSAIDIZI WA WATOTO MAHAKAMANI February 02, 2022
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UTOAJI WA ANWANIZA MAKAZI March 04, 2022
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA March 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • KIAPO CHA UTII KWA WAUGUZI MBEYADC

    May 16, 2025
  • BI. ERICA AMEMTEMBELEA ASKALI ALIELAZWA HOSPITALI YA IFISI

    May 08, 2025
  • Mapokezi ya Mhe Mchengerwa MbeyaDc

    April 26, 2025
  • Karibu Mhe. Mchengerwa

    April 25, 2025
  • Tazama zote

Picha Mwendo

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
Picha mwendo zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MBEYA

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Mahali

Wasiliana nasi

    Mbaliz Road

    Sanduku la posta: 599

    Simu ya mezani: 025-2502260

    Simu ya mkononi: 0762210758

    Baruapepe: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma zetu

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.