• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya Mbeya

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mifugo na uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Ufugaji wa nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Wataalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
      • Taarifa ya fedha
      • Mpango wa Mapato na Matumizi
      • Mapato na Matumizi ya Mwezi
      • Taarifa ya miradi ya maendeleo
      • Taarifa ya fedha ya mwaka
      • Mihtasari ya Mikutano ya Baraza
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Picha mwendo
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

MBEYA DC YALAZIMISHWA SARE MECHI YA KIRAFIKI DHIDI YA MUST

Imewekwa: February 7th, 2026

Timu ya Mpira wa Miguu ya Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya (Mbeya DC) imelazimishwa sare ya magoli 4–4 dhidi ya Timu ya Mpira wa Miguu ya Watumishi wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Mbeya (MUST) katika mchezo wa kirafiki uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Chuo Kikuu cha MUST, Jijini Mbeya.

Katika mchezo huo uliokuwa wa kasi na ushindani mkubwa, Timu ya Watumishi wa MUST ilianza vyema kwa kufunga magoli mawili ya mapema. Hata hivyo, Mbeya DC ilijibu kwa haraka na kusawazisha magoli hayo.

Mchezo uliendelea kwa mtindo wa piga nikupige hadi filimbi ya mwisho ilipopulizwa, ambapo timu zote zilionyesha uwezo na ushindani mkubwa na hatimaye kutoshana nguvu kwa sare ya magoli 4–4.

Magoli ya Mbeya DC yalifungwa na nyota wao wanne, ambao ni Richard Mwakalinga, Oscar Baganda, Imani Kagesya, na Said Mlau.

Aidha, katika mchezo mwingine wa mpira wa wavu (volleyball) uliochezwa sambamba na mechi ya mpira wa miguu leo katika Uwanja wa Chuo Kikuu cha MUST, Timu ya Mpira wa Wavu ya Mbeya DC ilishindwa kufua dafu mbele ya Timu ya Mpira wa Wavu ya MUST, na kuruhusu kupoteza kwa seti 4–2.

Matangazo

  • VITUO VYA KUJIANDIKISHIA ORODHA YA WAPIGA KURA October 11, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA KWA KAZI YA MSAIDIZI WA WATOTO MAHAKAMANI February 02, 2022
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UTOAJI WA ANWANIZA MAKAZI March 04, 2022
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA March 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • DCC YAPITISHA RASIMU YA BAJETI MWAKA WA FEDHA 2026/2027

    February 10, 2026
  • MKURUGENZI: WALIMU ZINGATIENI USALAMA WA TAARIFA MTANDAONI

    February 09, 2026
  • MBEYA DC YALAZIMISHWA SARE MECHI YA KIRAFIKI DHIDI YA MUST

    February 07, 2026
  • RUZUKU YA MICHE YA KAHAWA YA SAMIA YAZIDI KUTIKISA MBEYA DC

    February 05, 2026
  • Tazama zote

Picha Mwendo

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
Picha mwendo zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MBEYA

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Mahali

Wasiliana nasi

    Mbaliz Road

    Sanduku la posta: 599

    Simu ya mezani: 025-2502260

    Simu ya mkononi: 0762210758

    Baruapepe: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma zetu

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.