• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya Mbeya

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mifugo na uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Ufugaji wa nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Wataalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
      • Taarifa ya fedha
      • Mpango wa Mapato na Matumizi
      • Mapato na Matumizi ya Mwezi
      • Taarifa ya miradi ya maendeleo
      • Taarifa ya fedha ya mwaka
      • Mihtasari ya Mikutano ya Baraza
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Picha mwendo
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

RPC MBEYA AMKABIDHI CHETI CHA SHUKRANI MKURUGENZI MTENDAJI MBEYA DC

Imewekwa: February 11th, 2026

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limemkabidhi cheti cha shukrani Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya (Mbeya DC), Bi. Erica Yegella, kwa kutambua mchango wake katika ujenzi wa Kituo cha Polisi Igoma.

Akikabidhi cheti hicho leo, Mkuu wa Polisi wa Wilaya ya Kipolisi Mbalizi, Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Christopher Msonsa, kwa niaba ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya (RPC), Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Benjamin Kuzaga, amesema kuwa cheti hicho kimetolewa kama ishara ya kutambua na kuthamini mchango muhimu wa Halmashauri katika kuimarisha ulinzi na usalama, na hivyo kuchangia kudumisha amani na utulivu katika jamii.

Cheti hicho, kilichotolewa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya na kusainiwa na RPC, kinaeleza kutambua na kuthamini juhudi za Mkurugenzi wa Mbeya DC katika kuimarisha usalama, mshikamano wa jamii, upatikanaji wa huduma bora, pamoja na maendeleo ya wananchi.

Aidha, Jeshi la Polisi limemshukuru Bi. Yegella kwa ushirikiano wake wa hali na mali wakati wa ujenzi wa Kituo cha Polisi Igoma. Mbali na mchango wa kifedha na kiufundi, Halmashauri pia ilitoa samani kwa ajili ya kituo hicho, hatua iliyosaidia kuboresha mazingira ya utendaji kazi kwa askari na watumishi wa kituo.

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mtendaji wa Mbeya DC, Bi. Erica Yegella, amelishukuru Jeshi la Polisi kwa kutambua mchango wa Halmashauri katika kuimarisha ulinzi na usalama. Amesema kuwa ulinzi ni msingi wa maendeleo, kwani unahakikisha usalama wa raia na mali zao; hivyo, Halmashauri haikusita kushiriki kikamilifu katika ujenzi na uwezeshaji wa Kituo cha Polisi Igoma.

Matangazo

  • VITUO VYA KUJIANDIKISHIA ORODHA YA WAPIGA KURA October 11, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA KWA KAZI YA MSAIDIZI WA WATOTO MAHAKAMANI February 02, 2022
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UTOAJI WA ANWANIZA MAKAZI March 04, 2022
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA March 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • MBEYA DC YASISITIZA MATUMIZI SAHIHI MIKOPO YA ASILIMIA 10

    February 11, 2026
  • RPC MBEYA AMKABIDHI CHETI CHA SHUKRANI MKURUGENZI MTENDAJI MBEYA DC

    February 11, 2026
  • DC ITUNDA AWAAGIZA WEOs NA VEOs KUSIMAMIA MPANGO WA CHAKULA SHULENI

    February 10, 2026
  • DED YEGELLA: FEDHA ZA NDANI KUNUFAISHA KATA ZOTE MBEYA DC

    February 10, 2026
  • Tazama zote

Picha Mwendo

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
Picha mwendo zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MBEYA

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Mahali

Wasiliana nasi

    Mbaliz Road

    Sanduku la posta: 599

    Simu ya mezani: 025-2502260

    Simu ya mkononi: 0762210758

    Baruapepe: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma zetu

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.