• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya Mbeya

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mifugo na uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Ufugaji wa nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Wataalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
      • Taarifa ya fedha
      • Mpango wa Mapato na Matumizi
      • Mapato na Matumizi ya Mwezi
      • Taarifa ya miradi ya maendeleo
      • Taarifa ya fedha ya mwaka
      • Mihtasari ya Mikutano ya Baraza
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Picha mwendo
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

TAARIFA KWA UMMA, PONGEZI IDARA YA ELIMU SEKONDARI

Imewekwa: July 13th, 2024

PONGEZI MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2024

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya Ndg. Paul Mamba Sweya ametoa pongezi kwa idara ya Elimu Sekondari, Walimu,Wahitimu wa kidato cha sita 2024, wazazi pamoja na Wadau wote wa Elimu kufuatia matokeo mazuri ya mtihani wa kidato cha sita 2024 yaliyotangazwa leo na Baraza la Mitihani Tanzania ( NECTA).

Kwa mujibu wa NECTA, jumla ya shule 10 za kidato cha sita ambazo ni Ilembo, Iwalanje, Maghabe, Maranatha, Mbalizi, Pandahill, Rohila na Swilla zilizokuwa na jumla ya watahiniwa 1,292 wote wamefaulu kwa daraja la kwanza hadi la tatu kama inavyoonekana kwenye jedwali;

JINA LA SHULE

WALIOFANYA

MTIHANI

DARAJA

LA I

DARAJA

LA II

DARAJA

LA III

DARAJA

IV

DARAJA

0

ILEMBO

97

27

54

16

0

0

IWALANJE

168

55

88

25

0

0

MAGHABE

31

17

14

0

0

0

MARANATHA

32

25

7

0

0

0

MBALIZI

233

159

70

3

0

0

PANDAHILL

445

267

159

19

0

0

ROHILA

5

0

2

1

0

0

SWILLA

2

2

0

0

0

0

USONGWE

189

141

48

0

0

0

WENDA

90

31

39

19

0

0

JUMLA

1,292

724

481

83

0

0

 

‘’Huu ni ufaulu mkubwa sana kwa Halmashauri yetu, nawapomgeza sana wote waliofanikisha matokeo haya mazuri kwa vijana wetu,matokeo haya yanaonesha ushirikiano mzuri uliopo kati ya Halmashauri na wadau wote wa elimu ndani na nje ya Halmashauri yetu ya Mbeya ‘’ amesema ndugu Sweya

Fatina Z. Msangi

Kaim Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali

HALMASHAURI YA WILAYA YA MBEYA

Matangazo

  • VITUO VYA KUJIANDIKISHIA ORODHA YA WAPIGA KURA October 11, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA KWA KAZI YA MSAIDIZI WA WATOTO MAHAKAMANI February 02, 2022
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UTOAJI WA ANWANIZA MAKAZI March 04, 2022
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA March 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • BI. ERICA AMEMTEMBELEA ASKALI ALIELAZWA HOSPITALI YA IFISI

    May 08, 2025
  • Mapokezi ya Mhe Mchengerwa MbeyaDc

    April 26, 2025
  • Karibu Mhe. Mchengerwa

    April 25, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    April 25, 2025
  • Tazama zote

Picha Mwendo

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
Picha mwendo zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MBEYA

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Mahali

Wasiliana nasi

    Mbaliz Road

    Sanduku la posta: 599

    Simu ya mezani: 025-2502260

    Simu ya mkononi: 0762210758

    Baruapepe: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma zetu

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.