• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya Mbeya

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mifugo na uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Ufugaji wa nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Wataalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
      • Taarifa ya fedha
      • Mpango wa Mapato na Matumizi
      • Mapato na Matumizi ya Mwezi
      • Taarifa ya miradi ya maendeleo
      • Taarifa ya fedha ya mwaka
      • Mihtasari ya Mikutano ya Baraza
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Picha mwendo
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

WAFUNDISHENI PIA ULAJI WA LISHE WATU MAOFISINI RC DKT. HOMERA.

Imewekwa: May 26th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Dkt. Juma Z. Homera amewataka Maafisa Lishe wa Halmashauri kufundisha Umhimu wa Lishe kwa Watu wazima ili kuzingatia Namna bora ya ulaji badala ya kula Vyakula vya aina Moja vinavyoweza kuchangia Hali ya Ukondefu na udumavu kwa Watoto.

Homera ameyasema hayo akiwa kata ya Inyala Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya wakati akizindua Mradi wa Lishe ya Mwanao unaotekelezwa na Shirika la CRS chini ya udhamini wa Serikali ya Norway kwa Kushirikiana na UNICEF.


Katika Uzinduzi wa Mradi huo unaotekelezwa katika Mikoa ya Mbeya na Njombe Dkt.Homera amesema kiwango Cha ukondefu kimepungua Kutoka asilimia 2.7 hadi asilimia 0.6, Uzito pungufu(Udumavu) umepungua Kutoka asilimia 9.8 mpaka asilimia 1.4 wakati Uzito uliozidi umepungua Kutoka asilimia 5.3 hadi asilimia 5.2


Akisoma Taarifa ya Mradi Bi Ophilia Katumuna Kutoka UNICEF amesema Lengo la Mradi ni Kupunguza udumavu wa utotoni na kuboresha Matokeo ya Lishe ya Vijana kwa kupitia miundo na mifumo ya Jamii iliyoimarishwa kwa kuwa Udumavu huathiri ukuaji wa kimwili na wa kiakili kwa Watoto.


Ophilia amesema Hali ya Udumavu kwa Mkoa wa Mbeya ni asilimia 32 ambao ni juu kidogo ya wastani wa kitaifa ambao ni asilimia 30 ikizingatiwa kuwa Mkoa wa Mbeya ni miongoni mwa Mikoa inayozalidha mazao ya Chakula kwa wingi kwa Kipindi chote Cha Mwaka.


Kwa Upande Wake Dorice Munisi Meneja Mradi wa Lishe ya mwanao Mkoa wa Mbeya Kutoka CRS Walengwa wa Mradi ambao Watoto chini ya Miaka mitano na Wazazi wao, Mama wajawazito,Vijana wa Rika balehe, wanaume vinara Pamoja na Jamii kwa Ujumla


Afua mahususi za Lishe na afua mtambuka za Lishe miongoni mwa afua mahususi za Lishe ni kukuza na kuhamasisha ulishaji wa watoto wachanga na wadogo, kukuza na kuongeza matumizi ya Vyakula vilivyoongezwa virutubishi, kuimarisha ufuatiliaji na ukuaji wa Mtoto na uhamasishaji na kuboresha Hali ya Lishe mashuleni.

Matangazo

  • VITUO VYA KUJIANDIKISHIA ORODHA YA WAPIGA KURA October 11, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA KWA KAZI YA MSAIDIZI WA WATOTO MAHAKAMANI February 02, 2022
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UTOAJI WA ANWANIZA MAKAZI March 04, 2022
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA March 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • BARABARA ZA BIL.2+ KUJENGWA MBEYA DC, MBUNGE NJEZA ASHUHUDIA MIKATABA.

    May 24, 2025
  • DALADALA NA BAJAJI FATENI SHERIA - DED ERICA.

    May 29, 2025
  • WAFUNDISHENI PIA ULAJI WA LISHE WATU MAOFISINI RC DKT. HOMERA.

    May 26, 2025
  • Msingwa ateta na Maafisa habari wa Mikoa na Halmashauri

    May 24, 2025
  • Tazama zote

Picha Mwendo

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
Picha mwendo zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MBEYA

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Mahali

Wasiliana nasi

    Mbaliz Road

    Sanduku la posta: 599

    Simu ya mezani: 025-2502260

    Simu ya mkononi: 0762210758

    Baruapepe: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma zetu

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.