• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya Mbeya

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mifugo na uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Ufugaji wa nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Wataalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
      • Taarifa ya fedha
      • Mpango wa Mapato na Matumizi
      • Mapato na Matumizi ya Mwezi
      • Taarifa ya miradi ya maendeleo
      • Taarifa ya fedha ya mwaka
      • Mihtasari ya Mikutano ya Baraza
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Picha mwendo
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

ZIARA YA KAMATI YA FEDHA NA MIPANGO 2023/2024.

Imewekwa: January 16th, 2024

Kamati ya fedha na mipango robo ya pili mwaka wa fedha 2023/2024 ya halmashauri ya Wilaya ya Mbeyaimeanza ziara ya siku nne leo tarehe 16. 01. 2024 ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo ya Elimu Msingi, Sekondari na Afya.

Ziara ya kamati ya fedha na mipango chini ya Mwenyekiti wake Mhe Mwalingo Kisemba imetembelea shule ya sekondari Iyelanyala iliopo kata ya itewe, shule ya sekondari Imezu na Iyawaya zilizopo kata ya Inyala.

Kamati ikiwa katika shule ya sekondari  Iyelanyala imekagua madarasa mawili na maabala moja ya kemia ambapo zilianza kujengwa kwa nguvu ya wananchi na kumaliziwa na serikali ya awamu ya sita inayooongozwa na Rais Dkt Samia S. Hassan ikiwa ni katika kutekeleza ilani ya vchama cha mapinduzi CCM.

Milioni 55 zilitolewa na serikali kuu kwa ajili ya umaliziaji wa madarasa hayo na maabala moja ya kemia. Kamati imeridhishwa na umaliziaji wa majengo hayo ambayo tayari swanafunzi wa kidato cha nne wameanza kuyatumia mwaka huu.

Aidha kamati imepongeza juhudu za wananchi na kamati ya shule kwa usimamizi mzuri na kwendana na kasi ya awamu ya sita.

Kamati pia ilitembelea kata ya Inyala na kujionea umaliziaji wa madarasa manne na vyoo matundu mawili shule ya sekondari Imezu ambayo ilipewa milioni 96 kwa ajili ya ujenzi huo, kamati pia ilitembelea shule Jirani ya sekondari Iyawaya na kujiridhisha na ujenzi wa vyumba viwili ya madarasa.

Iyawaya ni miongoni mwa shule nyingi zilizoanzishwa na ilikuwa na kidato cha kwanza na cha pili, ongezeko la wanafunzi ndilo liliopelekea Mhe Rais kuongeza madarasa hayo mawili yenye thamani ya shilingi milioni 25 ili wanafunzi wapate sehemu nzuri ya kujifunzi. Shule ya Iyawaya hadi sasa imepokea wanafunzi 105 kidato cha kwanza.

Kamati hii ni muunganiko wa waheshimiwa madiwani na wataalamu wa halmashauri.

Ahsante serikali ya awamu ya sita kwa miradi mikubwa ya maendeleo ndani ya halmashauri ya Wilaya ya Mbeya.

Matangazo

  • VITUO VYA KUJIANDIKISHIA ORODHA YA WAPIGA KURA October 11, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA KWA KAZI YA MSAIDIZI WA WATOTO MAHAKAMANI February 02, 2022
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UTOAJI WA ANWANIZA MAKAZI March 04, 2022
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA March 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • DC MBEYA AFUATILIA AGIZO LA RC HOMERA UJENZI WA BARABARA YA MCHEPUKO IWAMBI MBALIZI, ARIDHISHWA NA KASI YAKE.

    June 10, 2025
  • Tuheshimu Sheria na taratibu zilizowekwa na Serikali- DED Erica..

    June 06, 2025
  • MbeyaDc yaadhimisha siku ya Mazingira Duniani kwa kufanya usafi katika Mto Mbalizi

    June 05, 2025
  • BARABARA ZA BIL.2+ KUJENGWA MBEYA DC, MBUNGE NJEZA ASHUHUDIA MIKATABA.

    May 24, 2025
  • Tazama zote

Picha Mwendo

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
Picha mwendo zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MBEYA

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Mahali

Wasiliana nasi

    Mbaliz Road

    Sanduku la posta: 599

    Simu ya mezani: 025-2502260

    Simu ya mkononi: 0762210758

    Baruapepe: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma zetu

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.