Imewekwa: April 21st, 2018
Wasichana 31,396 mkoani Mbeya wenye umri wa miaka 14 wanatarajiwa kupatiwa chanjo ya kinga ya saratani ya mlango wa kizazi.
Taarifa hiyo imetolewa na msaidizi wa Katibu Tawala Mkoa anay...
Imewekwa: April 20th, 2018
Halmashuri ya wilaya ya Mbeya imewarejesha kazini watumishi 72 walioondolewa kwenye mfumo wa malipo ya mishahara kwa kukosa sifa ya cheti cha kufaulu mtihani wa elimu ya kidato cha nne.
Akizu...
Imewekwa: April 2nd, 2018
Mradi wa maji wa Izumbwe, Iwindi, Mwashiwawala unatarajiwa kukamilika mwezi juni, 2018. Kukamilika kwa mradi huu wananchi zaidi ya elfu 14 wa vijiji vya izumbwe, Iwindi na Mwashiwawala watanufaika kwa...