• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya Mbeya

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mifugo na uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Ufugaji wa nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Wataalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
      • Taarifa ya fedha
      • Mpango wa Mapato na Matumizi
      • Mapato na Matumizi ya Mwezi
      • Taarifa ya miradi ya maendeleo
      • Taarifa ya fedha ya mwaka
      • Mihtasari ya Mikutano ya Baraza
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Picha mwendo
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

DED MBEYA DC AKAGUA UJENZI WA BWENI SHULE YA USONGWE

Imewekwa: August 1st, 2025

Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Mbeya Erica E. Yegella, ametembelea shule ya sekondari Usongwe iliyopo katika kata ya Utengule Usongwe mamlaka ya mji mdogo wa Mbalizi wilayani Mbeya na kukagua ujenzi wa bweni la wanafunzi wa kike katika shule hiyo.

Kwa mujibu wa taarifa ya uongozi wa shule hiyo ya upili, bweni hilo katika shule ya Sekondari Usongwe ni muhimu na litakuwa na uwezo wa kubeba wanafunzi mia tatu kwa wakati mmoja.


Akiwa ameambatana na viongozi mbalimbali katika sekta ya elimu akiwemo afisa elimu sekondari Mwal. Aliko Mbuba, mkurugenzi wa Halmashauri ya Mbeya Erica Yegella amesisitiza uaminifu na kuzingatia muda wa utekelezaji wa mradi huo ili kukamilika kwa wakati na baadaye kuanza kutumika na wanafunzi ili kusaidia kuboresha zaidi ufaulu shuleni hapo.


DED Yegella amesema Serikali ya awamu ya sita inatumia mamilion ya fedha kuimarisha miundombinu mbalimbali kwa wananchi wake ikiwemo kwenye kada ya elimu ili kusaidia watoto kuishi, kusoma na kujifunzia kwenye mazingira safi na salama kwani elimu ndio msingi thabiti wa maisha yao na Tanzania ijayo.

Matangazo

  • VITUO VYA KUJIANDIKISHIA ORODHA YA WAPIGA KURA October 11, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA KWA KAZI YA MSAIDIZI WA WATOTO MAHAKAMANI February 02, 2022
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UTOAJI WA ANWANIZA MAKAZI March 04, 2022
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA March 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • DED MBEYA DC AKAGUA UJENZI WA BWENI SHULE YA USONGWE

    August 01, 2025
  • DED ERICA AWAITA WANANCHI MAONYESHO YA NANENANE BANDA LA MBEYA DC.

    August 01, 2025
  • DC ITUNDA AKAGUA MIRADI YA MWENGE MBEYADC

    July 26, 2025
  • DED MBEYA DC NA FURSA ZA KIUCHUMI NMB KWA WANANCHI.

    July 12, 2025
  • Tazama zote

Picha Mwendo

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
Picha mwendo zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MBEYA

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Mahali

Wasiliana nasi

    Mbaliz Road

    Sanduku la posta: 599

    Simu ya mezani: 025-2502260

    Simu ya mkononi: 0762210758

    Baruapepe: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma zetu

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.