• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya Mbeya

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mifugo na uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Ufugaji wa nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Wataalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
      • Taarifa ya fedha
      • Mpango wa Mapato na Matumizi
      • Mapato na Matumizi ya Mwezi
      • Taarifa ya miradi ya maendeleo
      • Taarifa ya fedha ya mwaka
      • Mihtasari ya Mikutano ya Baraza
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Picha mwendo
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

Halmashauri ya wilaya ya mbeya yavuka lengo

Imewekwa: June 7th, 2018

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya, Amelchiory Kulwizila amesema hadi kufikia Juni 1, 2018 halmashauri imekusanya jumla ya shilingi 2,304,767,856/= Ikiwa ni sawa na asilimia 81 ya mapato yake ya ndani ambapo kwa mwaka wa fedha 2017/2018 halmashauri ilipanga kukusanya kiasi cha shilingi 2,867,013,000/-

Aidha, Mkurugenzi amesema kwamba, Halmashauri imefanikiwa kukusanya kiasi hicho cha fedha kutokana na timu aliyoiunda ya kufuatilia mapato kufanya kazi kwa umakini mkubwa kuhakikisha mapato hayatoroshwi.

Naye mwanasheria wa halmashauri, Wilson Nyamunda ambaye ni katibu wa timu ya kufuatilia mapato amesema tangu kuundwa kwa timu hiyo imeleta chachu kwa wakusanya mapato kwani imekuwa ikifanya ukaguzi wa kushtukiza jambo linalowafanya wakusanyaji kuwa makini wakati wote.

Pia ameeleza kwamba, awali kulikuwa na tatizo la kutolipwa ushuru wa huduma kwa watoa huduma hususani taasisi zilizopo ndani ya halmashauri.

“Timu ilianza kufanya  ufuatiliaji kwa taasisi zote zilizopo ndani ya halmashauri. Tukabaini baadhi hazilipi ushuru wa huduma. baada ya kubaini jambo hilo tukazidai na zikalipa jambo lililosaidia kuongeza mapato ya halmashauri” Nyamunda

Aidha, Nyamunda amesema, kwa jinsi timu inavyofanya kazi kuna uwezekano mkubwa hadi kufikia Juni 30, 2018 halmashauri ikakusanya zaidi ya asilimia 95 ya mapato yake.

Aprili, 2016. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa wakati akifungua mkutano mkuu wa Jumuia ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tanzania (ALAT) uliofanyika Dodoma alitoa agizo kwa halmashauri zote nchini kuhakikisha zinakusanya mapato yake ya ndani kwa asilimia 80, na zile ambazo hazitafikia lengo hilo zitafutwa kwa mujibu wa sheria.

Matangazo

  • VITUO VYA KUJIANDIKISHIA ORODHA YA WAPIGA KURA October 11, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA KWA KAZI YA MSAIDIZI WA WATOTO MAHAKAMANI February 02, 2022
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UTOAJI WA ANWANIZA MAKAZI March 04, 2022
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA March 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • MBEYA DC YAWATAKA VIJANA KUCHANGAMKIA MIKOPO YA ASILIMIA 10.

    August 02, 2025
  • DED MBEYA DC AKAGUA UJENZI WA BWENI SHULE YA USONGWE

    August 01, 2025
  • DED ERICA AWAITA WANANCHI MAONYESHO YA NANENANE BANDA LA MBEYA DC.

    August 01, 2025
  • DC ITUNDA AKAGUA MIRADI YA MWENGE MBEYADC

    July 26, 2025
  • Tazama zote

Picha Mwendo

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
Picha mwendo zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MBEYA

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Mahali

Wasiliana nasi

    Mbaliz Road

    Sanduku la posta: 599

    Simu ya mezani: 025-2502260

    Simu ya mkononi: 0762210758

    Baruapepe: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma zetu

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.