• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya Mbeya

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mifugo na uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Ufugaji wa nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Wataalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
      • Taarifa ya fedha
      • Mpango wa Mapato na Matumizi
      • Mapato na Matumizi ya Mwezi
      • Taarifa ya miradi ya maendeleo
      • Taarifa ya fedha ya mwaka
      • Mihtasari ya Mikutano ya Baraza
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Picha mwendo
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango Yakamilisha Ziara ya Ukaguzi.

Imewekwa: January 21st, 2026

Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango imehitimisha leo ziara yake ya siku tatu kwa kukagua vikundi vilivyonufaika na mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na Halmashauri, pamoja na kufanya ukaguzi wa Kituo cha Afya Mbalizi.

Katika ziara hiyo, Kamati ilitembelea vikundi mbalimbali vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu vilivyopata mikopo hiyo, kwa lengo la kujiridhisha na matumizi sahihi ya fedha, utekelezaji wa miradi pamoja na uendelevu wake. Kamati ilipata fursa ya kusikiliza taarifa za wanufaika na kujionea maendeleo yaliyopatikana kutokana na mikopo hiyo.

Aidha, Kamati ilikagua Kituo cha Afya Mbalizi ambapo ilipitia hali ya utoaji wa huduma za afya, miundombinu, upatikanaji wa vifaa tiba na rasilimali watu, sambamba na kusikiliza changamoto zinazokikabili kituo hicho.

Akizungumza wakati wa majumuisho ya ziara hiyo, Mwenyekiti wa Kamati, Mhe. Aidda C. Haule, ameipongeza menejimenti ya Halmashauri kwa usimamizi na ufatiliaji mzuri wa miradi ya mikopo ya asilimia 10 pamoja na juhudi zinazoendelea za kuboresha huduma za afya kwa wananchi.

“Menejimenti imefanya kazi nzuri katika kuhakikisha mikopo inawafikia walengwa na inatumika kwa malengo yaliyokusudiwa. Hii imechangia kuinua kipato cha wananchi na kuchochea maendeleo ya kiuchumi,” alisema Mhe. Haule.

Kamati imeendelea kutoa maelekezo na ushauri ili kuboresha zaidi usimamizi wa miradi hiyo, ikiwemo kuimarisha ufuatiliaji wa mara kwa mara na kutoa elimu ya usimamizi wa fedha kwa wanufaika, ili kuhakikisha mikopo inaleta tija endelevu kwa jamii.

Matangazo

  • VITUO VYA KUJIANDIKISHIA ORODHA YA WAPIGA KURA October 11, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA KWA KAZI YA MSAIDIZI WA WATOTO MAHAKAMANI February 02, 2022
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UTOAJI WA ANWANIZA MAKAZI March 04, 2022
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA March 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • REA KUSAMBAZA UMEME VITONGOJI 114 MBEYA DC MAPEMA MWAKA HUU

    February 13, 2026
  • MBEYA DC YASAJILI 483 BIMA YA AFYA KWA WOTE

    February 13, 2026
  • MWENYEKITI MBEYA DC AKABIDHI VISHIKWAMBI 44 KWA MADIWANI KUIMARISHA UFANISI WA KAZI

    February 13, 2026
  • MKURUGENZI, WATENDAJI VIJIJI MBEYA DC WAJADILI MIKAKATI KUHARAKISHA MAENDELEO

    February 12, 2026
  • Tazama zote

Picha Mwendo

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
Picha mwendo zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MBEYA

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Mahali

Wasiliana nasi

    Mbaliz Road

    Sanduku la posta: 599

    Simu ya mezani: 025-2502260

    Simu ya mkononi: 0762210758

    Baruapepe: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma zetu

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.