• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya Mbeya

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mifugo na uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Ufugaji wa nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Wataalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
      • Taarifa ya fedha
      • Mpango wa Mapato na Matumizi
      • Mapato na Matumizi ya Mwezi
      • Taarifa ya miradi ya maendeleo
      • Taarifa ya fedha ya mwaka
      • Mihtasari ya Mikutano ya Baraza
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Picha mwendo
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

Serikali iondoe chuki ya wananchi kwa kusimamia vyema miradi ya maendeleo- Mhe. Mwakasole, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mbeya

Imewekwa: March 27th, 2018

Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mbeya, Mhe. Jacobo Mwakasole amesema kuwa miradi ya maendeleo ikisimamiwa na kutekelezwa vyema, itasaidia kuondoa chuki ya wananchi dhidi ya Serikali yao.

Mhe. Mwakasole amesema kuwa chuki ya wananchi dhidi ya Serikali yao inajengwa pindi wananchi wanaposhindwa kuielewa Serikali yao haswa katika kutekeleza miradi ya maendeleo. Hivyo ameziomba Halmashauri zote nchini kusimamia vyema miradi ya maendeleo katika maeneo yao kwani jambo hilo litasaidia wananchi kuiamini Serikali yao na kukiamini chama kilichopo madarakani.

“Lazima Halmashauri isimamie vizuri miradi ya wananchi,, maana miradi ya wananchi isiposimamiwa vizuri, tunafanya wananchi washindwe kuielewa Serikali yao. Na kama hawata ielewa Serikali yao maana watakichukia hata chama kilichounda Serikali.”

Mhe. Mwakasole amesema hayo wakati Kamati ya Siasa ya Mkoa wa Mbeya ilipofanya ziara ya kukagua miradi ya maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya. Kisheria Kamati ya Siasa inajukumu la kukagua utekelezaji wa Irani ya chama kilichopo madarakani kwa kufanya ziara ya kuitembelea miradi husiaka. Katika ziara hiyo kamati imefanikiwa kukagua jumla ya miradi saba ya maendeleo, ambayo ni; mradi wa kuwawezesha kiuchumi makundi ya wanawake na vijana, mradi wa mpango wa kunusuru kaya masikini (TASAF), mradi wa usambazaji umeme vijijini (REA), mradi wa maji wa Izumbwe, Iwindi, Mwahiwawala, mradi wa ujenzi wa baraba ya umalila iliyopo chini ya (TANROADS) na mradi wa ujenzi wa daraja la Idiwili.

Matangazo

  • VITUO VYA KUJIANDIKISHIA ORODHA YA WAPIGA KURA October 11, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA KWA KAZI YA MSAIDIZI WA WATOTO MAHAKAMANI February 02, 2022
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UTOAJI WA ANWANIZA MAKAZI March 04, 2022
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA March 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • MBEYA DC YAWATAKA VIJANA KUCHANGAMKIA MIKOPO YA ASILIMIA 10.

    August 02, 2025
  • DED MBEYA DC AKAGUA UJENZI WA BWENI SHULE YA USONGWE

    August 01, 2025
  • DED ERICA AWAITA WANANCHI MAONYESHO YA NANENANE BANDA LA MBEYA DC.

    August 01, 2025
  • DC ITUNDA AKAGUA MIRADI YA MWENGE MBEYADC

    July 26, 2025
  • Tazama zote

Picha Mwendo

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
Picha mwendo zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MBEYA

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Mahali

Wasiliana nasi

    Mbaliz Road

    Sanduku la posta: 599

    Simu ya mezani: 025-2502260

    Simu ya mkononi: 0762210758

    Baruapepe: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma zetu

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.