• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Mbeya District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Departments
      • Human Resources and Administration
      • Finance
      • Planning, Monitoring and Stastics
      • Health
      • Works
      • Water
      • Livestock and Fisheries
      • Community Development
      • Cleaning and Environment
      • Secondary Education
      • Agriculture, Irrigation and Cooperative
      • Primary Education
      • Land and Natural Resources
    • Units
      • ICT and Public Relations
      • Legal
      • Election
      • Internal Audit
      • Procurement Management
      • Bee keeping
  • Investment Opportunities
    • Tourists Attraction
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
    • Expertise
  • Councilors
    • Councilors list
    • Standing Commitee
      • Finance, Administration and Planning Committee
      • Economics affairs, Construction and Environment Committee
      • Education, Health and Water Committee
      • AIDS Prevention Committee
    • Time table
      • Councilors Meetings
      • Visiting Chairperson
  • Projects
    • Approved Projects
    • On-going projects
    • Completed projects
  • Publications
    • By Laws
    • Service Contract
    • Strategic plan
    • Reports
      • Council Financial Report
      • Medium Term Expenditure Framework
      • Month Revenue and Expenditure Report
      • Council Development Report
      • Annual Performance and Financial Report
      • Full Council Minutes
    • Forms
    • Guidelines
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery

History

HALMASHAURI YA WILAYA YA MBEYA

1.1 HISTORIA YA HALMASHAURI

Halmashauri ya wilaya ilianzishwa mwaka 1984 kama Halmashauri ya wilaya baada ya kuanza kufanya kazi Sheria ya Serikali za Mitaa(Mamlaka za Wilaya) Na. 7(1982). Chini ya mkurugenzi John T. Matata 1984-1990, Orodha ya wakurugenzi waliopita katika halmashauri  ya wilaya ya Mbeya ni pamoja na John T. Matata, Daudi J. Mwabulambo 1990- 1996, Joseph J. Kahale 1996- 1996, Solanus M. Nyimbi 1996- 2005, Raphael . k. Kimoleta, 2005-2006,  Juliana T. Malance 2006-2012, Upendo A. Sanga 2012- 2016, Amelchiory M. Kulwizila 2016 – 2018 pamoja na Stephe E. Katemba 2018 hadi sasa.


1.2     MIPAKA NA UTAWALA

Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya ni moja kati ya Halmashauri saba (7) za Mkoa wa Mbeya; zingine ni Mbarali, Chunya, Kyela, Rungwe, Busokelo na Jiji la Mbeya. Halmashauri hii iko kati ya Latitude 7° na 9° Kusini mwa Ikweta na Longitude 33° na 35° Mashariki mwa Greenwich.  Wilaya inapakana na Wilaya ya Mbarali na Makete kwa upande wa Mashariki, Rungwe na Ileje upande wa kusini, Magharibi imepakana na Mbozi, Momba na Kaskazini Wilaya ya Chunya.

 Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya inaundwa na Tarafa tatu ambazo ni Tembela, Isangati na Usongwe. Baada ya kuanzishwa kwa Mamlaka ya mji mdogo wa Mbalizi mwaka 2014, Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya inajumla ya Kata ishirini na nane (28), Vijiji 140 na Vitongoji 931 vyenye jumla ya kaya 74,468.

Aidha Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya ina jumla ya Madiwani 38, kati ya hao 28 ni madiwani wa kuchaguliwa na 10 ni Madiwani wa viti maalum. Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya inajimbo moja la ubunge linalojulikana kama jimbo la Mbeya vijijini. Pamoja na Baraza la Madiwani maamuzi ya Halmashauri yanafikiwa kwa kupitia Kamati zake za kudumu nne (4) ambazo ni:

(i)      Fedha, Uongozi na Mipango

(ii)      Elimu, Afya na Maji

Uchumi, Ujenzi na Mazingira

UKIMWI

ENEO LA ARDHI.

Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya ina eneo la Ukubwa wa Kilometa za Mraba 2,432 ambazo ni sawa na hekta 243,200.  Eneo linalofaa kwa kilimo ni hekta 216,400 sawa na asilimia 88.9.

IDADI YA WATU 

Kwa mujibu wa matokeo ya sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012 Halmashauri ina jumla ya wakazi 305,319 kati yao wanaume ni 143,779 na wanawake ni 161,540 sawa na ongezeko la asilimia 2.5 kwa mwaka.  Msongamano wa watu kwa eneo ni watu 127.6 kwa kilometa ya mraba (km²).

Announcements

  • VITUO VYA KUJIANDIKISHIA ORODHA YA WAPIGA KURA October 11, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA KWA KAZI YA MSAIDIZI WA WATOTO MAHAKAMANI February 02, 2022
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UTOAJI WA ANWANIZA MAKAZI March 04, 2022
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA March 16, 2022
  • View All

Latest News

  • BI. ERICA AMEMTEMBELEA ASKALI ALIELAZWA HOSPITALI YA IFISI

    May 08, 2025
  • Mapokezi ya Mhe Mchengerwa MbeyaDc

    April 26, 2025
  • Karibu Mhe. Mchengerwa

    April 25, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    April 25, 2025
  • View All

Video

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
More Videos

Quick Links

  • MBEYA

Related Links

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Mbaliz Road

    Postal Address: 599

    Telephone: 025-2502260

    Mobile: 0762210758

    Email: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.