• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Mbeya District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Departments
      • Human Resources and Administration
      • Finance
      • Planning, Monitoring and Stastics
      • Health
      • Works
      • Water
      • Livestock and Fisheries
      • Community Development
      • Cleaning and Environment
      • Secondary Education
      • Agriculture, Irrigation and Cooperative
      • Primary Education
      • Land and Natural Resources
    • Units
      • ICT and Public Relations
      • Legal
      • Election
      • Internal Audit
      • Procurement Management
      • Bee keeping
  • Investment Opportunities
    • Tourists Attraction
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
    • Expertise
  • Councilors
    • Councilors list
    • Standing Commitee
      • Finance, Administration and Planning Committee
      • Economics affairs, Construction and Environment Committee
      • Education, Health and Water Committee
      • AIDS Prevention Committee
    • Time table
      • Councilors Meetings
      • Visiting Chairperson
  • Projects
    • Approved Projects
    • On-going projects
    • Completed projects
  • Publications
    • By Laws
    • Service Contract
    • Strategic plan
    • Reports
      • Council Financial Report
      • Medium Term Expenditure Framework
      • Month Revenue and Expenditure Report
      • Council Development Report
      • Annual Performance and Financial Report
      • Full Council Minutes
    • Forms
    • Guidelines
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery

Secondary Education

Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya inajumla ya shule za Sekondari 48, kati ya hizo 28 ni za Serikali na shule binafsi zipo 18. Shule hizo zote zinajumla ya wanafunzi 17, 985 na walimu wapo 710, kati ya hao walimu wa masomo ya Sayansi ni 126 na walimu wa Sanaa wapo 584. Shule za Serikali zilizopo kwa majina ni kama ifuatavyo:

Horongo, Ihango, Ikhoho, Ikukwa, Ilembo, Ilunga, Ilungu, Imezu, Isuto, Itala, Iwalanje, Iwiji, Iwindi, Izyira, Malama, Mpesu, Mshewe, Mwakipesile, Mwaselela, Nsongwi juu, Santilya, Shibolya, Shisyete, Songwe, Swaya, Teule, Usongwe na Yalawele.

Shule zinazoendeshwa na watu binafsi, Jumuia ya wazazi (TAPA) pamoja na taasisi za dini ni kama ifuatavyo:

Adam, Arise, Irambo, Itundu, Kanama, Maghabe, Maranatha, Mbalizi, Ntozo, Onicah, Pandahill, Rohila, Samaritan, Solace, St. Mary's Seminary Mbalizi, Swilla, Tembela na Wende.

MAFANIKIO YA IDARA 

Mafanikio yaliyopatikana katika Idara ya Elimu Sekodari ni pamoja na:

  • Kuongezeka kwa shule za Sekondari toka shule 28 mwaka 2006 hadi
  • kufikia idadi ya shule 46 kwa mwaka 2017, kati ya hizo shule 28 ni za Serikali na shule 18 ni za binafsi.
  • Shule mbili za Serikali ambazo ni Usongwe Sekondari pamoja na Iwalanje Sekondari zimepata kibali cha kuwa na kidato cha tano. Shule ya Usongwe Sekondari imeanza kidato cha tano mwaka 2008 na Shule ya Sekondari Iwalanje imeanza kidato cha tano mwaka 2010.
  • Kuongezeka kwa idadi ya wanafunzi wanaojiunga na kidato cha kwanza. Kwa mwaka 2017 jumla ya wanafunzi  3369 wamesajiliwa kidato cha kwanza kwa shule za Serikali, wavulana wakiwa  1481 na  wasichana ni 1888. Kwa shule binafsi jumla ya wanafunzi 1608 wamesajiliwa kuanza kidato cha kwanza, kati ya hao 746 ni wavulana na 862 ni wasichana.
  • Kuongezeka ufaulu wa wanafunzi wanaofanya mtihani wa Taifa wa kidato cha nne, ambapo kwa mwaka 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya imeongoza kimkoa dhidi ya Halmashauri tano za Mkoa wa Mbeya.

CHANGAMOTO

  • Upungufu mkubwa wa walimu wa Sekondari kwa masomo ya Sayansi ambapo mahitaji ni walimu 235 waliopo ni 126 hivyo kufanya upungufu wa walimu wa masomo ya Sayansi kuwa 109
  • Upungufu wa nyumba za walimu ambapo mpaka sasa Halmashauri ina jumla ya nyumba za walimu 63 wakati mahitaji ni 623, upungufu wa nyumba za walimu ni 560
  • Utoro wa wanafunzi katika shule za kutwa

MIKAKATI YA KUBORESHA IDARA YA ELIMU SEKONDARI

  • Kuhamasisha wananchi kuchangia zaidi katika maendeleo ya sekta ya elimu hasa ujenzi wa nyumba za walimu.
  • Kuomba kibali cha kuajiri walimu toka Idara Kuu ya Utumishi ili kuziba pengo la upungufu wa walimu wa Shule za Sekondari hasa katika masomo ya Sayansi.
  • Kuhakikisha kila Shule ya Sekondari ya Serikali inakuwa na bweni kwa ajili wa wanafunzi wasichana.
  • Maafisa Elimu kata pamoja na Watendaji wa Vijiji na Kata kushirikiana kuwahimiza wazazi kuwafuatilia watoto wao ili kudhibiti utoro.

Announcements

  • VITUO VYA KUJIANDIKISHIA ORODHA YA WAPIGA KURA October 11, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA KWA KAZI YA MSAIDIZI WA WATOTO MAHAKAMANI February 02, 2022
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UTOAJI WA ANWANIZA MAKAZI March 04, 2022
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA March 16, 2022
  • View All

Latest News

  • BI. ERICA AMEMTEMBELEA ASKALI ALIELAZWA HOSPITALI YA IFISI

    May 08, 2025
  • Mapokezi ya Mhe Mchengerwa MbeyaDc

    April 26, 2025
  • Karibu Mhe. Mchengerwa

    April 25, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    April 25, 2025
  • View All

Video

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
More Videos

Quick Links

  • MBEYA

Related Links

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Mbaliz Road

    Postal Address: 599

    Telephone: 025-2502260

    Mobile: 0762210758

    Email: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.