• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Mbeya District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Departments
      • Human Resources and Administration
      • Finance
      • Planning, Monitoring and Stastics
      • Health
      • Works
      • Water
      • Livestock and Fisheries
      • Community Development
      • Cleaning and Environment
      • Secondary Education
      • Agriculture, Irrigation and Cooperative
      • Primary Education
      • Land and Natural Resources
    • Units
      • ICT and Public Relations
      • Legal
      • Election
      • Internal Audit
      • Procurement Management
      • Bee keeping
  • Investment Opportunities
    • Tourists Attraction
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
    • Expertise
  • Councilors
    • Councilors list
    • Standing Commitee
      • Finance, Administration and Planning Committee
      • Economics affairs, Construction and Environment Committee
      • Education, Health and Water Committee
      • AIDS Prevention Committee
    • Time table
      • Councilors Meetings
      • Visiting Chairperson
  • Projects
    • Approved Projects
    • On-going projects
    • Completed projects
  • Publications
    • By Laws
    • Service Contract
    • Strategic plan
    • Reports
      • Council Financial Report
      • Medium Term Expenditure Framework
      • Month Revenue and Expenditure Report
      • Council Development Report
      • Annual Performance and Financial Report
      • Full Council Minutes
    • Forms
    • Guidelines
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery

Livestock and Fisheries

1:0 UTANGULIZI. 

Idara ya Mifugo na Uvuvi katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya inajumla ya watumishi 45; kati ya hao saba (7) ni Maafisa Mifugo, ishirini na tano (25) ni Mafisa Mifugo Wasaidizi, Madaktari wa Mifugo wapo wawili (2), Maafisa Uvuvi wapo wawili (2), na mmoja (1) na nane (8) ni Maafisa Mifugo ngazi ya kijiji.  

 2:0 IDADAI YA MIFUGO

Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya inajumla ya mifugo 475,364 ambao kati yao 72,099 ni Ng’ombe, 65,416 ni Mbuzi, 9,388 ni Kondoo, 2,578 ni Punda, 8,990 ni Mbwa, 20,942 ni Nguruwe, 291,894 ni Kuku, 1,640 ni Bata nap aka wapo 2,417.

3:0 ENEO LA MALISHO

Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya imetenga maeneo yenye ukubwa wa Hekta 2,575.05 kwa ajili ya malisho ya mifugo katika vijiji vya Mjele na Chang’ombe.

4:0 MAJUKUMU YA KAZI ZA IDARA

Idara ya Mifugo na uvuvi inafanya majukumu mbalimbali chini ya vitengo vyake vikuu viwili ambavyo ni kitengo cha Mifugo na Kitengo cha Uvuvi.

4:1 Majukumu ya Kitengo cha Mifugo 

  • Kutoa elimu kwa wafugaji juu ya kufuata mbinu bora za ufugaji
  • Kusimamia Sheria, Kanuni na Taratibu mbalimbali za mifugo. Sheria hizo ni kama vile:

Sheria ya Veterinari (Veterinary Act) Na.16 ya mwaka 2003  

Sheria ya Magonjwa ya Mifugo (Animal Disease Act) Na. 17 ya mwaka 2003

Sheria ya Chakula, Madawa na Vipodozi Tanzania (The Tanzania Food, Drugs, and Cosmetics Act) ya mwaka 2003

Sheria ya Biashara ya Ngozi (The Hides, Slams and leather Trade) Na. 18 ya mwaka 2008

Sheria ya Ustawi wa Wanyama (The Animal Welfare Act) Na, 19 ya mwaka 2008

  • Kutoa na kusimamia tiba ya magonjwa ya Mifugo
  • Kutoa na kusimamia kinga ya magonjwa ya mifugo kama vile chanjo dhidi ya Ugonjwa wa Homa ya Bonde la ufa, Kichaa cha Mbwa, Mdondo, Ugonjwa wa miguu na midomo(FMD) n.k
  • Kufanya ukaguzi wa nyama
  • Kusimamia miundombinu ya mifugo kama vile machinjio na majosho
  • Kusimamia usafirishaji wa mifugo kwa kuangalia afya ya mifugo inayotoka na kuingia Wilayani
  • Kuendesha shughuli za uboreshaji wa mifugo ya asili.·

4:2 Majukumu ya Kitengo cha Uvuvi

  • Kutoa elimu na ushauri wa kitaalamu juu ya uzalishaji bora wa samaki kwenye mabwawa
  • Kusimamia Sheria, Taratibu na Kanuni za ufugaji samaki ili kuhakikisha zinatekelezwa kwa wakati kwa mujibu wa Sheria ya Samaki (Fisheries Act) ya mwaka 2003
  • Kuhamasisha wananchi kufuga samaki kwa njia ya mabwawa

5:0 MAFANIKIO

  • Kujengwa kwa machinjio ya kisasa iliyopo kata ya Utengule Usongwe, Machinjio hii ipo katika hatua ya kufunga vifaa, kukamilika kwa machinjio haya itaongeza kwa kiasi kikubwa uzalishaji wa nyama bora itakayouzwa ndani na nje ya nchi.
  • Kuongezeka kwa uzalishaji wa maziwa toka lita 11,487,960 mwaka 2013 hadi kufikia lita 25,368,965  mwaka 2015
  • Kujengwa kituo kimoja cha uhimilishaji kilichopo kata ya Tembela.
  • Kuanzishwa/kufunguliwa kwa Majosho majosho kumi na saba (17) katika kata za Igale, Igoma, Ijombe, Ikukwa, Ilembo, Ilungu, Inyala, Itawa, Iwiji, Iwindi, Mjele,  Mshewe,  Santilya, Tembela na Ulenje.  
  • Kuongezeka idadi ya wafugaji samaki ambapo mkapa sasa Halmashauri ina jumla ya wafugaji 336.
  • Kuongezeka kwa mabwawa ya kufugia samaki ambapo mpaka sasa Halmashauri ina jumla ya mabwawa 452. Mabwawa hayo yanapatikana katika kata za; Ilembo, Masoko, Ikukwa, Mshewe, Iwiji, Utengule, Santilya, Isuto, Tembela, Inyala, Itewe, Ihango, Ulenje, Itawa, Ilungu na Bonde la Songwe.

Announcements

  • VITUO VYA KUJIANDIKISHIA ORODHA YA WAPIGA KURA October 11, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA KWA KAZI YA MSAIDIZI WA WATOTO MAHAKAMANI February 02, 2022
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UTOAJI WA ANWANIZA MAKAZI March 04, 2022
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA March 16, 2022
  • View All

Latest News

  • CRDB BENKI YATOA SHUKRANI KWA WATEJA WA HALMASHAURI

    September 17, 2025
  • RC MBEYA AHIMIZA MATUMIZI NISHATI SAFI.

    August 29, 2025
  • DC ITUNDA AKUTANA NA MACHIFU WA HALMASAHAURI YA WILAYA YA MBEYA

    August 28, 2025
  • DED ERICA E. YEGELLA APOKEA UGENI WA MACHIFU KUTOKA MKOA WA RUVUMA

    August 27, 2025
  • View All

Video

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
More Videos

Quick Links

  • MBEYA

Related Links

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Mbaliz Road

    Postal Address: 599

    Telephone: 025-2502260

    Mobile: 0762210758

    Email: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.