• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Mbeya District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Departments
      • Human Resources and Administration
      • Finance
      • Planning, Monitoring and Stastics
      • Health
      • Works
      • Water
      • Livestock and Fisheries
      • Community Development
      • Cleaning and Environment
      • Secondary Education
      • Agriculture, Irrigation and Cooperative
      • Primary Education
      • Land and Natural Resources
    • Units
      • ICT and Public Relations
      • Legal
      • Election
      • Internal Audit
      • Procurement Management
      • Bee keeping
  • Investment Opportunities
    • Tourists Attraction
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
    • Expertise
  • Councilors
    • Councilors list
    • Standing Commitee
      • Finance, Administration and Planning Committee
      • Economics affairs, Construction and Environment Committee
      • Education, Health and Water Committee
      • AIDS Prevention Committee
    • Time table
      • Councilors Meetings
      • Visiting Chairperson
  • Projects
    • Approved Projects
    • On-going projects
    • Completed projects
  • Publications
    • By Laws
    • Service Contract
    • Strategic plan
    • Reports
      • Council Financial Report
      • Medium Term Expenditure Framework
      • Month Revenue and Expenditure Report
      • Council Development Report
      • Annual Performance and Financial Report
      • Full Council Minutes
    • Forms
    • Guidelines
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery

Cleaning and Environment

MAJUKUMU YA SEKTA YA USAFI NA MAZINGIRA:

Kuboresha hali ya usafi wa mazingira ya jiji la Tanga kwa kufanya yafuatayo:

Kimarisha huduma za udhibiti wa taka ngumu, usafi wa barabara, maeneo na mifereji ya maji ya mvua.

Kuratibu utoaji huduma za maji taka na kuimarisha usafi wa mazingira.

Kusimamia huduma ya udhibiti wa hifadhi na usalama wa mazingira.

Kuimarisha programu ya elimu jamii kuhusu usafi wa mazingira, uchangiaji ada za udhibiti taka na uzingatiaji wa sheria.

Kuimarisha ukaguzi, usimamizi na ufuatiliaji wa usafi wa majengo na siha ya mazingira na afya ya jamii

Kuimarisha ufuatiliaji na udhibiti wa magonjwa ya milipuko

Kuimarisha huduma za udhibiti wa usalama na ubora wa chakula na vipodozi

Kuimarisha huduma za udhibiti ubora na usalama wa maji na usafi wa mtu binafsi (Hygiene)

MFUMO WA UDHIBITI WA UCHAFUZI WA MAZINGIRA.

Wahusika katika utekelezaji wa sheria ngazi ya Kata/vijiji

Majukumu katika utekelezaji wa sheria za usafi

Vikundi vya ulinzi shirikishi wa mazingira
Vikundi hivi vitakuwa na jukumu la kuhakikisha kila siku maeneo yote yanapata huduma ya uzoaji taka kwa mujibu wa ratiba.
Vitafuatilia na kuwachukulia hatua wale wote watakaobainika kutupa taka ovyo.
Auxilliary Police na Askari mgambo
Watakuwa muda wote (masaa ya kazi) katika vituo vyao vya kazi na watahakikisha watu hawatupi taka ovyo.
Watawakamata watu watakaobainika kutupa taka ovyo na kuwafikisha kwa Afisa afya wa Kata / Afisa Mtendaji wa Kata /Afisa Mtendaji wa Mtaa.
Maafisa Watendaji wa Kata na vijiji
Wataongoza zoezi la udhibiti wa wachafuzi wa mazingira na kuratibu zoezi la utoaji adhabu na kusimamia utekelezaji wake.
Maafisa Afya wa Kata
Atakuwa msimamizi mkuu wa huduma za usafi wa mazingira katika Kata
Atasimamia utekelezaji wa matakwa ya sheria ikiwa ni pamoja na kuongoza taratibu za ukamataji wa wachafuzi wa mazingira na utekelezaji wa adhabu.
Mabaraza ya usuluhishi ya Kata
Watasuluhisha mashauri yanayohusiana na uchafuzi wa mazingira ikiwa ni pamoja na kutoa adhabu kwa wote wanaokaidi kufuata taratibu na sheria za usafi wa mazingira.

TARATIBU ZA UTOAJI ADHABU KWA WACHAFUZI WA MAZINGIRA

Baada ya kukamatwa kwa wale wanaokaidi sheria na taratibu za usafi, watatozwa faini ya papo kwa hapo kwa makosa yanayostahili. Faini hiyo itatozwa na Afisa Mtendaji wa Kata na ama Afisa mwingine yeyote aliye chini yake na ambaye amemwidhinisha kwa barua kufanya kazi hiyo.Kwa makosa yasiyostahili faini ya papo kwa hapo, watuhumiwa watafikishwa katika mabaraza ya usuruhishi ya kata ama mahakamani.

Announcements

  • VITUO VYA KUJIANDIKISHIA ORODHA YA WAPIGA KURA October 11, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA KWA KAZI YA MSAIDIZI WA WATOTO MAHAKAMANI February 02, 2022
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UTOAJI WA ANWANIZA MAKAZI March 04, 2022
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA March 16, 2022
  • View All

Latest News

  • BI. ERICA AMEMTEMBELEA ASKALI ALIELAZWA HOSPITALI YA IFISI

    May 08, 2025
  • Mapokezi ya Mhe Mchengerwa MbeyaDc

    April 26, 2025
  • Karibu Mhe. Mchengerwa

    April 25, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    April 25, 2025
  • View All

Video

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
More Videos

Quick Links

  • MBEYA

Related Links

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Mbaliz Road

    Postal Address: 599

    Telephone: 025-2502260

    Mobile: 0762210758

    Email: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.