• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Mbeya District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Departments
      • Human Resources and Administration
      • Finance
      • Planning, Monitoring and Stastics
      • Health
      • Works
      • Water
      • Livestock and Fisheries
      • Community Development
      • Cleaning and Environment
      • Secondary Education
      • Agriculture, Irrigation and Cooperative
      • Primary Education
      • Land and Natural Resources
    • Units
      • ICT and Public Relations
      • Legal
      • Election
      • Internal Audit
      • Procurement Management
      • Bee keeping
  • Investment Opportunities
    • Tourists Attraction
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
    • Expertise
  • Councilors
    • Councilors list
    • Standing Commitee
      • Finance, Administration and Planning Committee
      • Economics affairs, Construction and Environment Committee
      • Education, Health and Water Committee
      • AIDS Prevention Committee
    • Time table
      • Councilors Meetings
      • Visiting Chairperson
  • Projects
    • Approved Projects
    • On-going projects
    • Completed projects
  • Publications
    • By Laws
    • Service Contract
    • Strategic plan
    • Reports
      • Council Financial Report
      • Medium Term Expenditure Framework
      • Month Revenue and Expenditure Report
      • Council Development Report
      • Annual Performance and Financial Report
      • Full Council Minutes
    • Forms
    • Guidelines
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery

CPA EDWARD AIPONGEZA MBEYADC KUFIKISHA ASILIMIA 71% YA UKUSANYAJI WA MAPATO

Posted on: January 29th, 2025

Katibu tawala msaidizi wa Mkoa wa Mbeya CPA Edward Malima ameipongeza Halmashauri ya Mbeya DC kwa kufanikisha ukusanyaji mzuri wa mapato uliofikia asilimia 71% kwa mwaka 2024-2025.

‘’ Kwenye upande wa ukusanyaji mapato ya ndani kwakweli mnafanya vizuri hadi mwezi December 31, 2024 mlikuwa asilimia 59 kwa maana Jola lengo kwa asilimia 9 na taarifa ya sasa niliyonayo January 24,2025 mko asilimia 71 hii nikutokana na uwongozi wako Mh.Mwenyekiti na waheshimiwa madiwani na ushirikiano na management ndiyo maana umefika hapa maelekezo yenu yanazingatiwa vizuri kwa upande wa mapato nawapongezeni sana tunaona jitihada zenu mnazozifanya,lakini kwenye eneo hili tuombe tuzingatie taratibu za Serikali kutenga asilimia 40 kwaajili ya miradi ya maendeleo tusije tukasahau’’.Amesema Malima

Katika hatua nyingine Malima ameeleza dhamira yake yakuhakikisha ujenzi wa Barabara inayo unganisha Mbeya mpaka Njombe kupitia Isyonje hadi Kikondo yenye urefu wa kilomita 22 unakamilika kwa haraka na kusema kuwa ukamilikaji wa Barabara hiyo utatoa fursa kubwa ya ukuaji wa kiuchumi ndani ya mkoa wa Mbeya.

Mwenyekiti wa kikao hicho Mwalyigo Kisenga ameahidi kutoa ushirikiano mzuri kwa Mkurugenzi mpya Mheshimiwa Erica Yegella ilikuhakikisha kwamba Halmashauri ya Mbeya DC inazidi kukua na kutoa huduma bora kwa wananchi.

‘’Amesimamia vizuri pamoja na mambo mengine Mama ukitaka kwenda na sisi kama utamuliza huyo atakwambia siri yetu wala usipate shida kwamaana angekuwa amehama ungepata shida lakini huku hakuna ugumu wowote nikushirikiana tu kwakweli kwa uwazi wala hakuna kitu kigumu kabisa baada ya kusema hayo sasa nilikuwa najaribu kupokea niliyo ambiwa na wakubwa zetu pamoja na Mkurugenzi wetu tunakukaribisha uzuri unatimu yote ya watumishi ambayo kama unayoona hayo mapato siyo Mapunda pekeyake ni management nzima wanajua siri ya kufanya vizuri we shirikiana nao sisi utatuona kwenye vikao tu lakini utakao kuwanao kila siku ni hawa ndiyo wanaojua kila kitu kilivyo kuliko hata sisi’’Amesema Kisenga.

Kwa upande mwingine Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya ametoa ufafanuzi kwa fedha zote zilizo patikana katika Halmashauri hii zitatumika kama zilivyo pangwa.

‘’Lakini tunaahidi fedha zote zitatumika ipasavyo na leo nimeanza kazi na kazi kwenye Bilioni moja ya hapa hapa kwenye kata yetu ya Iwindi kwenye hili jengo la Halmashauri hiyo bilioni moja imeletwa kwaajili ya vitu vitatu cha kwanza Uzio wa Jengo hili la Halmashauri cha pili Cafetaria na chatatu ni landscaping ilikuonyesha sura na taswira ya Jengo letu liwe na kuvutiwa na kuonyesha kuwa serikali iko hapa katika Halmashauri ya wilaya ya Mbeya’’ Amesema Yegella.

 Pongezi na maamuzi hayo yanaonyesha dhamira ya viongozi wa Halmashauri ya Wilaya Mbeya katika kuimarisha maendeleo na ustawi wa kijamii huku wakisisitiza umuhimu wa jamii kushirikiana na Serikali katika kuitumia vyema rasilimali na miundo mbinu iliyopo.   

 

 

Announcements

  • VITUO VYA KUJIANDIKISHIA ORODHA YA WAPIGA KURA October 11, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA KWA KAZI YA MSAIDIZI WA WATOTO MAHAKAMANI February 02, 2022
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UTOAJI WA ANWANIZA MAKAZI March 04, 2022
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA March 16, 2022
  • View All

Latest News

  • BI. ERICA AMEMTEMBELEA ASKALI ALIELAZWA HOSPITALI YA IFISI

    May 08, 2025
  • Mapokezi ya Mhe Mchengerwa MbeyaDc

    April 26, 2025
  • Karibu Mhe. Mchengerwa

    April 25, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    April 25, 2025
  • View All

Video

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
More Videos

Quick Links

  • MBEYA

Related Links

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Mbaliz Road

    Postal Address: 599

    Telephone: 025-2502260

    Mobile: 0762210758

    Email: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.