• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Mbeya District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Departments
      • Human Resources and Administration
      • Finance
      • Planning, Monitoring and Stastics
      • Health
      • Works
      • Water
      • Livestock and Fisheries
      • Community Development
      • Cleaning and Environment
      • Secondary Education
      • Agriculture, Irrigation and Cooperative
      • Primary Education
      • Land and Natural Resources
    • Units
      • ICT and Public Relations
      • Legal
      • Election
      • Internal Audit
      • Procurement Management
      • Bee keeping
  • Investment Opportunities
    • Tourists Attraction
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
    • Expertise
  • Councilors
    • Councilors list
    • Standing Commitee
      • Finance, Administration and Planning Committee
      • Economics affairs, Construction and Environment Committee
      • Education, Health and Water Committee
      • AIDS Prevention Committee
    • Time table
      • Councilors Meetings
      • Visiting Chairperson
  • Projects
    • Approved Projects
    • On-going projects
    • Completed projects
  • Publications
    • By Laws
    • Service Contract
    • Strategic plan
    • Reports
      • Council Financial Report
      • Medium Term Expenditure Framework
      • Month Revenue and Expenditure Report
      • Council Development Report
      • Annual Performance and Financial Report
      • Full Council Minutes
    • Forms
    • Guidelines
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery

Inyala kuunganisha Tanzania Malawi Zambia, Kongo kibiashara

Posted on: July 30th, 2018

Ujenzi wa bandari kavu Inyala, Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya umetajwa kuwa ni nguzo muhimu ya ushirikiano wa kibiashara kati ya Tanzania na nchi zinazopakana nazo upande wa nyanda za juu kusini ikiwemo Malawi.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mhe. Amos Makalla kwenye ziara ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan alipotembelea bandari ya Itugi katika ziwa Nyasa  kukagua ujenzi wa meli ya MV Mbeya II yenye uwezo wa kubeba abiria 200 na mzigo wa tani 200. Na kukagua meli mbili katika bandari ya Kiwira (MV Njombe na MV Ruvuma) zenye uwezo wa kubeba mzigo wa tani 1,000 kila moja.

Makalla amesema, kukamilika kwa meli hizo kumeongeza kasi ya kusafirisha mizigo toka Tanzania kwenda Malawi, lakini ujenzi wa bandari kavu Inyala ndio unategemewa kufanya mageuzi ya usafirishaji mizigo nchini kwa kupitia njia ya reli ya TAZARA ambayo gharama yake ni nafuu zaidi kuliko njia ya barabara kama inavyotumika hivi sasa.

"Mhe. Makamu wa Rais, ujenzi wa bandari kavu Inyala ni nguzo muhimu katika ukuaji wa kiuchumi wa mkoa wa Mbeya na taifa kwa ujumla, kwani itasaidia kusogeza Huduma za bandari toka Dar es salaam hadi Mbeya hali itakayowapunzia gharama za usafiri wateja wetu wa nchi za Malawi, Zambia na Kongo"

Aidha Makalla, amemuomba Makamu wa Rais kuihimiza Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA)  kuongeza kasi katika ujenzi wa bandari hiyo kwani uongozi wa mkoa kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya umetenga eneo la hekari 110 ambapo  TPA imeliridhia, na hatua za awali ya kulitwaa eneo zimekamilika, kinachosubiriwa sasa ni TPA  kulipa fidia na kuanza ujenzi.

 Kwa upande wake Makamu wa Rais, ameupongeza uongozi wa mkoa pamoja na halmashauri kwa kuanzisha mpango wa ujenzi wa bandari kavu Inyala kwani itaongeza mapato ya halmashauri na mkoa.

Pia Mhe. Samia amewataka wananchi wa mkoa wa Mbeya kufanya kazi kwa bidii na ubunifu wa kuzalisha mazao kwa viwango vya kimataifa ili kuweza kutumia bandari kavu tarajiwa ya Inyala pamoja na meli za mizigo zilizopo bandari ya Kiwira kusafirisha mazao yao nje ya nchi.

Announcements

  • VITUO VYA KUJIANDIKISHIA ORODHA YA WAPIGA KURA October 11, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA KWA KAZI YA MSAIDIZI WA WATOTO MAHAKAMANI February 02, 2022
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UTOAJI WA ANWANIZA MAKAZI March 04, 2022
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA March 16, 2022
  • View All

Latest News

  • CRDB BENKI YATOA SHUKRANI KWA WATEJA WA HALMASHAURI

    September 17, 2025
  • RC MBEYA AHIMIZA MATUMIZI NISHATI SAFI.

    August 29, 2025
  • DC ITUNDA AKUTANA NA MACHIFU WA HALMASAHAURI YA WILAYA YA MBEYA

    August 28, 2025
  • DED ERICA E. YEGELLA APOKEA UGENI WA MACHIFU KUTOKA MKOA WA RUVUMA

    August 27, 2025
  • View All

Video

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
More Videos

Quick Links

  • MBEYA

Related Links

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Mbaliz Road

    Postal Address: 599

    Telephone: 025-2502260

    Mobile: 0762210758

    Email: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.