• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Mbeya District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Departments
      • Human Resources and Administration
      • Finance
      • Planning, Monitoring and Stastics
      • Health
      • Works
      • Water
      • Livestock and Fisheries
      • Community Development
      • Cleaning and Environment
      • Secondary Education
      • Agriculture, Irrigation and Cooperative
      • Primary Education
      • Land and Natural Resources
    • Units
      • ICT and Public Relations
      • Legal
      • Election
      • Internal Audit
      • Procurement Management
      • Bee keeping
  • Investment Opportunities
    • Tourists Attraction
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
    • Expertise
  • Councilors
    • Councilors list
    • Standing Commitee
      • Finance, Administration and Planning Committee
      • Economics affairs, Construction and Environment Committee
      • Education, Health and Water Committee
      • AIDS Prevention Committee
    • Time table
      • Councilors Meetings
      • Visiting Chairperson
  • Projects
    • Approved Projects
    • On-going projects
    • Completed projects
  • Publications
    • By Laws
    • Service Contract
    • Strategic plan
    • Reports
      • Council Financial Report
      • Medium Term Expenditure Framework
      • Month Revenue and Expenditure Report
      • Council Development Report
      • Annual Performance and Financial Report
      • Full Council Minutes
    • Forms
    • Guidelines
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery

MbeyaDc yaadhimisha siku ya Mazingira Duniani kwa kufanya usafi katika Mto Mbalizi

Posted on: June 5th, 2025

Katika kuadhimisha siku ya mazingira Duniani, Halmashauri ya wilaya ya Mbeya imeungana na wananchi wengine kufanya usafi wa mazingira na kuhimiza utunzaji bora wa mazingira kwa ustawi wa Tanzania ya sasa na ijayo.


Shughuli ya usafi katika mji wa Mbalizi hasa kuzunguka eneo la mto Mbalizi imeongozwa na kaimu mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Mbeya John Maholani.


Akizungumza na wananchi wa mji wa Mbalizi na Mbeya kwa ujumla, Maholani amewataka wananchi kujenga tabia ya usafi kuwa desturi badala ya kusubiri kuhimizwa na kuhakikisha idara ya mazingira na watendaji kata wanasimamia zoezi hilo.


Afisa mazingira kutoka Halmashauri ya wilaya ya Mbeya John Rulala amesema wataendelea kufanya doria na kuchukua hatua kwa wanaokiuka kanuni na sheria walizojiwekea huku akisisitiza wananchi kuzingatia elimu ya utunzaji mazingira badala ya kusubiri kutozwa faini zisizo na msingi.


Kwa upande wake mtendaji wa mamlaka ya mji mdogo wa Mbalizi Daudi Mbembela amewataka wananchi wa Mbeya vijijini hasa katika mamlaka hiyo ya mji mdogo kushirikiana na viongozi wao kutunza mazingira na kutotupa taka hovyo ili kuepukana na magonjwa mbalimbali hasa ya mripuko.


Viongozi mbalimbali wa kata vitongoji wamewataka wananchi kila mmoja kuhakikisha anakuwa na eneo la kukusanyia taka taka na kukusanya kwenye gari la kuzoa taka kulingana na ratiba walizojiwekea ili kuhifadhi mazingira.


Nao wananchi waliozungumzia maadhimisho ya siku ya mazingira Duniani wamesema uchafu unachagizwa na baadhi ya wananchi ambao wanaenda kutupa taka hovyo hasa maeneo ya wazi na kwenye kingo za mto bila kujali usalama wa afya zao na kutaka suala la usafi liwe endelevu badala ya kusubiri maadhimisho ya mazingira au siku za usafi.


Siku ya mazingira Duniani huadhimishwa Juni 04 kila mwaka kote ulimwenguni ili kutafakari kwa pamoja juu ya uhifadhi bora wa mazingira, changamoto na mafanikio katika suala la mazingira pamoja na hatua mahususi za kuhakikisha mazingira yanahifadhiwa ipasavyo ili kutunza uoto wa asili kwa manufaa ya kizazi cha sasa na kile cha Tanzania ijayo.

Announcements

  • VITUO VYA KUJIANDIKISHIA ORODHA YA WAPIGA KURA October 11, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA KWA KAZI YA MSAIDIZI WA WATOTO MAHAKAMANI February 02, 2022
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UTOAJI WA ANWANIZA MAKAZI March 04, 2022
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA March 16, 2022
  • View All

Latest News

  • CRDB BENKI YATOA SHUKRANI KWA WATEJA WA HALMASHAURI

    September 17, 2025
  • RC MBEYA AHIMIZA MATUMIZI NISHATI SAFI.

    August 29, 2025
  • DC ITUNDA AKUTANA NA MACHIFU WA HALMASAHAURI YA WILAYA YA MBEYA

    August 28, 2025
  • DED ERICA E. YEGELLA APOKEA UGENI WA MACHIFU KUTOKA MKOA WA RUVUMA

    August 27, 2025
  • View All

Video

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
More Videos

Quick Links

  • MBEYA

Related Links

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Mbaliz Road

    Postal Address: 599

    Telephone: 025-2502260

    Mobile: 0762210758

    Email: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.