• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Mbeya District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Departments
      • Human Resources and Administration
      • Finance
      • Planning, Monitoring and Stastics
      • Health
      • Works
      • Water
      • Livestock and Fisheries
      • Community Development
      • Cleaning and Environment
      • Secondary Education
      • Agriculture, Irrigation and Cooperative
      • Primary Education
      • Land and Natural Resources
    • Units
      • ICT and Public Relations
      • Legal
      • Election
      • Internal Audit
      • Procurement Management
      • Bee keeping
  • Investment Opportunities
    • Tourists Attraction
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
    • Expertise
  • Councilors
    • Councilors list
    • Standing Commitee
      • Finance, Administration and Planning Committee
      • Economics affairs, Construction and Environment Committee
      • Education, Health and Water Committee
      • AIDS Prevention Committee
    • Time table
      • Councilors Meetings
      • Visiting Chairperson
  • Projects
    • Approved Projects
    • On-going projects
    • Completed projects
  • Publications
    • By Laws
    • Service Contract
    • Strategic plan
    • Reports
      • Council Financial Report
      • Medium Term Expenditure Framework
      • Month Revenue and Expenditure Report
      • Council Development Report
      • Annual Performance and Financial Report
      • Full Council Minutes
    • Forms
    • Guidelines
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mhe. Amos Makalla amewataka Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya kuongeza nguvu katika kuwasimamia watendaji wake

Posted on: August 29th, 2017

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Amos Makalla amewataka waheshimiwa madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya kutumia madaraka waliyopewa kisheria kwa kuwasimamia ipasavyo wataalamu wakati wa utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo. Mhe. Makalla ametoa kauli hiyo wakati wa Mkutano  Maalum wa Halmashauri kwa ajili ya kupitia hoja za Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG).

Wakati akitoa kauli hiyo Mhe. Makalla amesema katika mwaka wa fedha wa 2014/2015  Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya ilipata hati yenye mashaka. Alisema tafsili ya kupata hati yenye mashaka kwa wananchi ni kamba katika Halmashauri kuna wizi jambo linalosababisha wananchi kukosa imani na Serikali yao. Sasa ili kuondokana na jambo hilo ni vyema waheshimiwa madiwani waongeza nguvu katika kusimamia miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Halmashauri hiyo.

Pia Mhe. Makalla amewataka wataalamu kuongeza ufanisi katika kutekeleza miradi ya maendeleo kwa kufuata Sheria na Taratibu za matumizi ya fedha za Umma.

“Ni lazima wataalamu wawe makini kwa kufuata sheria wakati wa kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo, hatutaki wataalamu wanaozalisha hoja bali tunataka wataalamu wanaoepuka hoja kwa kufuata Sheria na Kanuni za matumizi ya fedha za Umma” Amesema.

Mhe. Makalla pia amesisitizia suala la umoja kati ya Waheshimiwa Madiwani na Wataalamu kama suala muhimu la kufikia tija ya kuwaletea maendeleo wananchi. Amesema wananchi hawataki kuona malumbano bali wanataka kuona Halmashauri yao inapiga hatua katika maendeleo. Amesema kama kunasuala lolote limetokea ni vyema kuomba ushauri kwa viongozi wa Serikali waliopo kuanzia Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Mhe. Mkuu wa Mkoa.

“Naishauri Halmashauri yenu kuwa na umoja kati yenu na watendaji, kati yenu wenyewe  waheshimiwa madiwani na uongozi wa serikali, yupo Mkuu wa Wilaya yupo Mkuu wa Mkoa. Kwa hali iliyopo sasa kwa Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya  msipo chukua hatua bado kuna mapungufu mengi kazi yangu kwawaambia na mimi napenda kuwaambia ukweli …kwa sababu mimi ndio msimamizi wa kwanza na kiongozi wa shughuli zote katika mkoa huu na mlezi na msimamizi wa serikali za mitaa ndio maana nipo hapa.”

Announcements

  • VITUO VYA KUJIANDIKISHIA ORODHA YA WAPIGA KURA October 11, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA KWA KAZI YA MSAIDIZI WA WATOTO MAHAKAMANI February 02, 2022
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UTOAJI WA ANWANIZA MAKAZI March 04, 2022
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA March 16, 2022
  • View All

Latest News

  • CRDB BENKI YATOA SHUKRANI KWA WATEJA WA HALMASHAURI

    September 17, 2025
  • RC MBEYA AHIMIZA MATUMIZI NISHATI SAFI.

    August 29, 2025
  • DC ITUNDA AKUTANA NA MACHIFU WA HALMASAHAURI YA WILAYA YA MBEYA

    August 28, 2025
  • DED ERICA E. YEGELLA APOKEA UGENI WA MACHIFU KUTOKA MKOA WA RUVUMA

    August 27, 2025
  • View All

Video

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
More Videos

Quick Links

  • MBEYA

Related Links

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Mbaliz Road

    Postal Address: 599

    Telephone: 025-2502260

    Mobile: 0762210758

    Email: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.