• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Mbeya District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Departments
      • Human Resources and Administration
      • Finance
      • Planning, Monitoring and Stastics
      • Health
      • Works
      • Water
      • Livestock and Fisheries
      • Community Development
      • Cleaning and Environment
      • Secondary Education
      • Agriculture, Irrigation and Cooperative
      • Primary Education
      • Land and Natural Resources
    • Units
      • ICT and Public Relations
      • Legal
      • Election
      • Internal Audit
      • Procurement Management
      • Bee keeping
  • Investment Opportunities
    • Tourists Attraction
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
    • Expertise
  • Councilors
    • Councilors list
    • Standing Commitee
      • Finance, Administration and Planning Committee
      • Economics affairs, Construction and Environment Committee
      • Education, Health and Water Committee
      • AIDS Prevention Committee
    • Time table
      • Councilors Meetings
      • Visiting Chairperson
  • Projects
    • Approved Projects
    • On-going projects
    • Completed projects
  • Publications
    • By Laws
    • Service Contract
    • Strategic plan
    • Reports
      • Council Financial Report
      • Medium Term Expenditure Framework
      • Month Revenue and Expenditure Report
      • Council Development Report
      • Annual Performance and Financial Report
      • Full Council Minutes
    • Forms
    • Guidelines
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery

Mradi wa Maji Izumbwe, Iwindi, Mwashiwawala kukamilika mwezi Juni, 2018

Posted on: April 2nd, 2018

Mradi wa maji wa Izumbwe, Iwindi, Mwashiwawala unatarajiwa kukamilika mwezi juni, 2018. Kukamilika kwa mradi huu wananchi zaidi ya elfu 14 wa vijiji vya izumbwe, Iwindi na Mwashiwawala watanufaika kwa kupata maji safi na salama.

Mhandisi wa Maji, Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya, Vivian Mndolwa amesema mradi huu ulianza kujengwa mwezi  Machi, 2017 na ulitarajiwa kukamilika mwezi Disemba 2017. Lakini kutokona na mvua kubwa zilizonyesha zimesababisha mradi kusimama kwa muda hivyo utamalizika mwezi Juni, 2018.

“Mradi huu ulianza kutekelezwa machi 2017 na mkataba wa mradi huu ni wa miezi 9. Na tulitegemea tungemaliza mwezi wa 12 lakini kwa sasa tutamaliza mwezi Juni 2018… kwa sababu mamboa yote yapo, isipokuwa kilichokuwa kinazuia ni hizi mvua zinazonyesha wangechimbwa mitalo ingekuwa inajifukia”

Gharama za mradi huu ni Shilingi bilioni 1.5 ambapo mpaka sasa pesa zilizotumika ni Shilingi Milioni 562,122,764/- Kazi zilizofanyika ni ujenzi wa matanki yote matatu yenye ukubwa wa lita 45,000, 90,000 na135,000. Ujenzi wa vituo 38 vya kuchotea na ununuaji wa mabomba ya usambazaji maji yenye urefu wa mita 61,213. Kazi zilizobaki ambazo hadi kufikia Juni, 2018 zitakuwa zimekamilika ni ujenzi wa vituo vingine 38 vya kuchotea maji pamoja na ulazaji wa mabomba.

Diwani wa Kata ya Igale, Mhe. Maiko Mwasonzwe ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya kwa kutekeleza mradi huu ambao ni muhimu kwa wananchi wakata yake pamoja na kata jirani ya iwindi. Mhe. Mwasonzwe amesema mradi huu utakakapo kamilika utakuwa ni suluhisho la kudumu la tatizo la maji katika eneo lake kwani wananchi wamekuwa wakipata hadha kubwa ya ukosefu wa maji.

“Wananchi wameusubiri mradi huu kwa muda mrefu na wanapata shida ya kutafuta maji naamini kwamba mradi ukikamilika itakuwa ni mkombozi kwa wanachi wangu wa kata ya igale na kata ya Iwindi ambao wanategemea mradi huu wa maji”

Baadhi ya wananchi wa kijiji cha Izumbwe ambao nao ni wanufaika wa mradi huu pindi utakapokamilika wamesema kuwa tatizo la maji tatizo la maji katika kijiji chao linaenda kuwa historia. Hivyo wamesemapindi mradi huo utakapo kamilika kufika mwezi Juni wataupokea kwa furaha, lakini kubwa zaidi watautunza mradi huo kama  wanavyotunza miradi mingine inayotekelezwa na Serikali katika kijiji chao. Dick Paulenje mkazi wa kijiji hicho amesema

“Huu mradi ukikamilika kufikia mwezi wa sita tutaupokea vizuri sana kuufurahia kwa sababu tutakuwa tunanufaika na uhitaji wa maji yenyewe maana maji yanauhitaji mwingi tu, kuna kumwagilia, kupikia na mengine mengi tu ya kibinadamu, nadhani yatakuwa yametusaidia sana na niahidi sisi kama wananchi tutautunza mradi huu illi kulifanya tatizo la maji kuwa historia katika kijiji chetu”

Announcements

  • VITUO VYA KUJIANDIKISHIA ORODHA YA WAPIGA KURA October 11, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA KWA KAZI YA MSAIDIZI WA WATOTO MAHAKAMANI February 02, 2022
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UTOAJI WA ANWANIZA MAKAZI March 04, 2022
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA March 16, 2022
  • View All

Latest News

  • CRDB BENKI YATOA SHUKRANI KWA WATEJA WA HALMASHAURI

    September 17, 2025
  • RC MBEYA AHIMIZA MATUMIZI NISHATI SAFI.

    August 29, 2025
  • DC ITUNDA AKUTANA NA MACHIFU WA HALMASAHAURI YA WILAYA YA MBEYA

    August 28, 2025
  • DED ERICA E. YEGELLA APOKEA UGENI WA MACHIFU KUTOKA MKOA WA RUVUMA

    August 27, 2025
  • View All

Video

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
More Videos

Quick Links

  • MBEYA

Related Links

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Mbaliz Road

    Postal Address: 599

    Telephone: 025-2502260

    Mobile: 0762210758

    Email: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.