• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Mbeya District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Departments
      • Human Resources and Administration
      • Finance
      • Planning, Monitoring and Stastics
      • Health
      • Works
      • Water
      • Livestock and Fisheries
      • Community Development
      • Cleaning and Environment
      • Secondary Education
      • Agriculture, Irrigation and Cooperative
      • Primary Education
      • Land and Natural Resources
    • Units
      • ICT and Public Relations
      • Legal
      • Election
      • Internal Audit
      • Procurement Management
      • Bee keeping
  • Investment Opportunities
    • Tourists Attraction
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
    • Expertise
  • Councilors
    • Councilors list
    • Standing Commitee
      • Finance, Administration and Planning Committee
      • Economics affairs, Construction and Environment Committee
      • Education, Health and Water Committee
      • AIDS Prevention Committee
    • Time table
      • Councilors Meetings
      • Visiting Chairperson
  • Projects
    • Approved Projects
    • On-going projects
    • Completed projects
  • Publications
    • By Laws
    • Service Contract
    • Strategic plan
    • Reports
      • Council Financial Report
      • Medium Term Expenditure Framework
      • Month Revenue and Expenditure Report
      • Council Development Report
      • Annual Performance and Financial Report
      • Full Council Minutes
    • Forms
    • Guidelines
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery

UONGOZI WA HALMASHAURI WATAKIWA KUTENGA FEDHA KWA AJILI YA WATU WENYE MAHITAJI MAALUMU.

Posted on: February 11th, 2021

MKUU wa Wilaya ya Mbeya ,William Ntinika ameagiza halmashauri ya wilaya ya Mbeya kubuni vyanzo vya mapato vya ndani ili iwe na uwezo wa kujitegemea yenyewe.

Ntinika amesema hayo  wakati wa kikao cha kamati ya ushauri cha wilaya(DCC) kilichokuwa kikijadili Rasimu ya bajeti ya halmasahauri ya Wilaya ya Mbeya kwa mwaka wa fedha 2021/2022 ambacho kiliwashirikisha viongozi mbalimbali wa Wilaya .

Aidha Mkuu huyo wa Wilaya alisema kuwa halmshauri kama wana ardhi nzuri kwanini wasifanye ubunifu wa kujenga shule ambayo itakuwa chanzo cha mapato ya ndani .

“Wenzenu Halmashauri ya Jiji wana wana shule tatu ambazo ni Magufuli,Azimio , Mkapa hizi zote zinawaingizia mapato ya ndani na sasa wana shule inajengwa itaitwa Nsalaga na tayari Mkuu wa Mkoa na timu yake walikuwa huko kukagua muda si mrefu itakamilika ,na nyinyi kama halmashauri ya wilaya na mna ardhi nzuri kwanini msifanye ubunifu huo mkajenga na watu wapo tayari hivyo ni vyanzo vya ndani ili halmashauri iwe na uwezo wake wa kujitegemea”alisema Mkuu huyo wa Wilaya.

Hata hivyo Ntinika alisema kuwa kati ya fedha Bil.56 mapato ya ndani ni Bil.4 kwa maana ina uwezo wa asimilia 8 na kuwa asimilia 82 inategemea kutoka serikali kuu na kwamba mwaka jana waliletewa bil.1 .7 ambazo zimejenga vituo vya afya vya Santilya .mil.500,Ikukwa,mil.800,Ilembo,mil.400 na ndo sababu  Rais alisema halmashauri ianze kujenga vituo vya afya .

Aidha Ntinika alitoa wito kwa halmashauri kupitia wataalam wake kuendelea kuwa wabunifu jinsi ya kuwa na vyanzo vya mapato ya ndani ambavyo vitasaidia ili halmashauri iweze kujitegemea .

Kwa upande wake Mwenyekiti wa umoja wa wazazi wa chama cha mapinduzi Wilaya ya Mbeya(CCM) ,William Simwali alisema halmashauri ya Wilaya ya Mbeya imekuwa ya mfano kwa kutoa mafuta kinga na vifaa saidizi kwa watu wenye ulbino.

Simwali alisema kuwa Halmashauri ya wilaya ya Mbeya ni halmashauri pekee kwa Mkoa wa Mbeya ambayo imekuwa mkombozi kwa kutoa fedha zake za mapato ya ndani kununua mafuta kinga kwa watu kwa wenye ulbino,Mbeya , Songwe,Rukwa kwa kutenga fedha kutoka mapato ya ndani kununua mafuta kwa ajili ya watu wenye ualubino.

Aidha alishauri serikali kuhakikisha kuwa kila halmashauri inatenga fungu maalum kwa ajili ya kupata mafuta kinga na vifaa saidizi kwa watu wenye ulemavu kwani watu wenye ulbino adui wao mkubwa ni salatani ya ngozi ambayo inawafanya washidwe kufikisha hata miaka 40 .

Announcements

  • VITUO VYA KUJIANDIKISHIA ORODHA YA WAPIGA KURA October 11, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA KWA KAZI YA MSAIDIZI WA WATOTO MAHAKAMANI February 02, 2022
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UTOAJI WA ANWANIZA MAKAZI March 04, 2022
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA March 16, 2022
  • View All

Latest News

  • CRDB BENKI YATOA SHUKRANI KWA WATEJA WA HALMASHAURI

    September 17, 2025
  • RC MBEYA AHIMIZA MATUMIZI NISHATI SAFI.

    August 29, 2025
  • DC ITUNDA AKUTANA NA MACHIFU WA HALMASAHAURI YA WILAYA YA MBEYA

    August 28, 2025
  • DED ERICA E. YEGELLA APOKEA UGENI WA MACHIFU KUTOKA MKOA WA RUVUMA

    August 27, 2025
  • View All

Video

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
More Videos

Quick Links

  • MBEYA

Related Links

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Mbaliz Road

    Postal Address: 599

    Telephone: 025-2502260

    Mobile: 0762210758

    Email: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.