• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya Mbeya

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mifugo na uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Ufugaji wa nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Wataalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
      • Taarifa ya fedha
      • Mpango wa Mapato na Matumizi
      • Mapato na Matumizi ya Mwezi
      • Taarifa ya miradi ya maendeleo
      • Taarifa ya fedha ya mwaka
      • Mihtasari ya Mikutano ya Baraza
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Picha mwendo
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

MAGARI YOTE KUANZIA JUMATATU YAINGIE STENDI

Imewekwa: May 22nd, 2020

Mkuu wa mkoa wa Mbeya Mhe. Albert Chalamila ameagiza kuanzia jumatatu tarehe 25/5/2020 kuanzia saa kumi na mbili asubuhi magari yote yanapaswa kuingia mbalizi standi

Chalamila ameyasema hayo siku ya tarehe 21/5/2020 kwenye ziara ya kutembelea miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika halmashauri ya wilaya ya Mbeya, miradi aliyotembelea ni Ujenzi wa Standi ya mbalizi pamoja na Machinjio iliyopo Utengule

“Ni mwelekezea Mkurungenzi na mkuu wa wilaya kuanzia jumatatu saa kumi na mbili asubuhi magari yaanze kukatisha hapa, angalieni utaratibu wanamna magari yanaweza kupita ilivijana wetu waendelee na kazi” Chalamila mkuu wa mkoa wa Mbeya.

Pia Mkuu wa mkoa alitoa pongezi kwa watendaji wa halmashauri ya wilaya ya mbeya kwa kazi nzuri ya ujenzi wa standi ya kisasa katika mji mdogo wa mbalizi

“tuwapigie makofi watendaji wa halmashauri kwa kazi nzuri, sisi watendaji ukiangalia sio wa muda mrefu au miaka mingi lakini kwa muda tuliofika tunatekeleza yaleyaliyo ndani ya uwezo wetu”

Aidha Mkuu wa mkoa Mhe Albert Chalamila alitembelea na kukagua mradi wa machinjio Utengule ambapo ujenzi umefikia hatuo za mwisho kukamilika

“Haya machinjio naamini pamoja na kusaidia wananchi mtakuwa mmesave kosti, tujitahidi sana kuhakikisha huduma kwa wananchi wetu inakuwa ni nzuri zaidi tungee kidogo lakini utekelezaji unakuwa mkubwa zaidi” Mhe Chalamila

Pia ameutaka uongozi wa halmashauri unakamilisha kwa haraka na wakati ujenzi huo wa machinjio iliwananchi wawezekuhama pale kwenye machinjio ya zamani kwani mazingira ya pale sio mazuri sana

Wakwanza kutoka  kulia ni Mkuu wa mkoa Mhe Albert Chalamila na wapili ni Ndg Stephen E Katemba Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Mbeya na watatu ni Mhe Paul William Ntinika Mkuu wa wilaya ya Mbeya wakiwa katika ukaguzi wa Ujenzi wa Standi ya mabus Mbalizi

Masafara wa Ziara ya Mkuu wa mkoa ukipita kukagua Ujenzi wa stendi ya mbalizi wakati wa ziara ya mkuu wa Mkoa

Matangazo

  • VITUO VYA KUJIANDIKISHIA ORODHA YA WAPIGA KURA October 11, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA KWA KAZI YA MSAIDIZI WA WATOTO MAHAKAMANI February 02, 2022
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UTOAJI WA ANWANIZA MAKAZI March 04, 2022
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA March 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • DC MBEYA AFUATILIA AGIZO LA RC HOMERA UJENZI WA BARABARA YA MCHEPUKO IWAMBI MBALIZI, ARIDHISHWA NA KASI YAKE.

    June 10, 2025
  • Tuheshimu Sheria na taratibu zilizowekwa na Serikali- DED Erica..

    June 06, 2025
  • MbeyaDc yaadhimisha siku ya Mazingira Duniani kwa kufanya usafi katika Mto Mbalizi

    June 05, 2025
  • BARABARA ZA BIL.2+ KUJENGWA MBEYA DC, MBUNGE NJEZA ASHUHUDIA MIKATABA.

    May 24, 2025
  • Tazama zote

Picha Mwendo

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
Picha mwendo zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MBEYA

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Mahali

Wasiliana nasi

    Mbaliz Road

    Sanduku la posta: 599

    Simu ya mezani: 025-2502260

    Simu ya mkononi: 0762210758

    Baruapepe: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma zetu

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.