• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya Mbeya

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mifugo na uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Ufugaji wa nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Wataalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
      • Taarifa ya fedha
      • Mpango wa Mapato na Matumizi
      • Mapato na Matumizi ya Mwezi
      • Taarifa ya miradi ya maendeleo
      • Taarifa ya fedha ya mwaka
      • Mihtasari ya Mikutano ya Baraza
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Picha mwendo
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

MbeyaDc yaadhimisha siku ya Mazingira Duniani kwa kufanya usafi katika Mto Mbalizi

Imewekwa: June 5th, 2025

Katika kuadhimisha siku ya mazingira Duniani, Halmashauri ya wilaya ya Mbeya imeungana na wananchi wengine kufanya usafi wa mazingira na kuhimiza utunzaji bora wa mazingira kwa ustawi wa Tanzania ya sasa na ijayo.


Shughuli ya usafi katika mji wa Mbalizi hasa kuzunguka eneo la mto Mbalizi imeongozwa na kaimu mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Mbeya John Maholani.


Akizungumza na wananchi wa mji wa Mbalizi na Mbeya kwa ujumla, Maholani amewataka wananchi kujenga tabia ya usafi kuwa desturi badala ya kusubiri kuhimizwa na kuhakikisha idara ya mazingira na watendaji kata wanasimamia zoezi hilo.


Afisa mazingira kutoka Halmashauri ya wilaya ya Mbeya John Rulala amesema wataendelea kufanya doria na kuchukua hatua kwa wanaokiuka kanuni na sheria walizojiwekea huku akisisitiza wananchi kuzingatia elimu ya utunzaji mazingira badala ya kusubiri kutozwa faini zisizo na msingi.


Kwa upande wake mtendaji wa mamlaka ya mji mdogo wa Mbalizi Daudi Mbembela amewataka wananchi wa Mbeya vijijini hasa katika mamlaka hiyo ya mji mdogo kushirikiana na viongozi wao kutunza mazingira na kutotupa taka hovyo ili kuepukana na magonjwa mbalimbali hasa ya mripuko.


Viongozi mbalimbali wa kata vitongoji wamewataka wananchi kila mmoja kuhakikisha anakuwa na eneo la kukusanyia taka taka na kukusanya kwenye gari la kuzoa taka kulingana na ratiba walizojiwekea ili kuhifadhi mazingira.


Nao wananchi waliozungumzia maadhimisho ya siku ya mazingira Duniani wamesema uchafu unachagizwa na baadhi ya wananchi ambao wanaenda kutupa taka hovyo hasa maeneo ya wazi na kwenye kingo za mto bila kujali usalama wa afya zao na kutaka suala la usafi liwe endelevu badala ya kusubiri maadhimisho ya mazingira au siku za usafi.


Siku ya mazingira Duniani huadhimishwa Juni 04 kila mwaka kote ulimwenguni ili kutafakari kwa pamoja juu ya uhifadhi bora wa mazingira, changamoto na mafanikio katika suala la mazingira pamoja na hatua mahususi za kuhakikisha mazingira yanahifadhiwa ipasavyo ili kutunza uoto wa asili kwa manufaa ya kizazi cha sasa na kile cha Tanzania ijayo.

Matangazo

  • VITUO VYA KUJIANDIKISHIA ORODHA YA WAPIGA KURA October 11, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA KWA KAZI YA MSAIDIZI WA WATOTO MAHAKAMANI February 02, 2022
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UTOAJI WA ANWANIZA MAKAZI March 04, 2022
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA March 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • DC MBEYA AFUATILIA AGIZO LA RC HOMERA UJENZI WA BARABARA YA MCHEPUKO IWAMBI MBALIZI, ARIDHISHWA NA KASI YAKE.

    June 10, 2025
  • Tuheshimu Sheria na taratibu zilizowekwa na Serikali- DED Erica..

    June 06, 2025
  • MbeyaDc yaadhimisha siku ya Mazingira Duniani kwa kufanya usafi katika Mto Mbalizi

    June 05, 2025
  • BARABARA ZA BIL.2+ KUJENGWA MBEYA DC, MBUNGE NJEZA ASHUHUDIA MIKATABA.

    May 24, 2025
  • Tazama zote

Picha Mwendo

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
Picha mwendo zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MBEYA

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Mahali

Wasiliana nasi

    Mbaliz Road

    Sanduku la posta: 599

    Simu ya mezani: 025-2502260

    Simu ya mkononi: 0762210758

    Baruapepe: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma zetu

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.