• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya Mbeya

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mifugo na uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Ufugaji wa nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Wataalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
      • Taarifa ya fedha
      • Mpango wa Mapato na Matumizi
      • Mapato na Matumizi ya Mwezi
      • Taarifa ya miradi ya maendeleo
      • Taarifa ya fedha ya mwaka
      • Mihtasari ya Mikutano ya Baraza
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Picha mwendo
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

BARABARA ZA BIL.2+ KUJENGWA MBEYA DC, MBUNGE NJEZA ASHUHUDIA MIKATABA.

Imewekwa: May 24th, 2025

Kufuatia changamoto ya ubovu wa barabara inayowakabili wananchi wa kata za Shizuvi na Ilembo tarafa ya Isangati Jimbo la Mbeya vijijini hasa katika kusafirisha mazao na bidhaa mbalimbali, Serikali imesaini mikataba miwili na wakandarasi kwa ajili ya kujenga barabara kwa kiwango cha Changarawe ikiwemo barabara ya Sapanda Isonso Ilembo.


Wananchi wa kata hizo huenda wakaondokana na changamoto hiyo kutokana na mpango wa Serikali kujenga barabara hiyo kwa kiwango cha Changarawe kama ilivyoelezwa na meneja wa wakala wa barabara za mjini na vijijini (TARURA) mkoa wa Mbeya Mhandisi Alberto Kindole kuwa barabara hizo zitagharimu zaidi ya shilingi billion mbili.

Akizungumza mbele ya mamia ya wananchi wa kata za Shizuvi na Ilembo kwenye shughuli ya utiaji saini na wakandarasi, meneja huyo wa TARURA mkoa wa Mbeya ameeleza kuwa barabara za vijijini ni muhimu na zinasaidia katika usafirishaji hasa wa mazao mbalimbali kama ilivyoombwa na Mbunge wa Mbeya vijijini na madiwani kwa nyakati tofauti.


Akizungumza na wananchi hao, Mbunge wa jimbo la Mbeya vijijini Mhe. Oran Njeza, amesema wananchi wake wana uhitaji mkubwa wa barabara utakaowasaidia katika usafirishaji mazao na wagonjwa ikizingatiwa kuwa eneo hilo ni wazalishaji wa mazao mbalimbali ikiwemo Mbao, Pareto na viazi.


Pamoja na hayo Mbunge Njeza ameishukuru Serikali kwa uidhinishaji fedha zaidi ya shilingi billion mbili na kwa ajili ya barabara mbili 


Barabara zilizosainiwa mikataba yake kwa ajili ya kuanza ujenzi ni za Ilembo Mwala na ile ya Sapanda Ilembo Isonso ambazo zote zitaanza ujenzi wake rasmi mwanzoni mwa mwezi Juni 2025 na zitajengwa kwa kiwango cha Changarawe kwa muda wa miezi nane.

Matangazo

  • VITUO VYA KUJIANDIKISHIA ORODHA YA WAPIGA KURA October 11, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA KWA KAZI YA MSAIDIZI WA WATOTO MAHAKAMANI February 02, 2022
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UTOAJI WA ANWANIZA MAKAZI March 04, 2022
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA March 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • BARABARA ZA BIL.2+ KUJENGWA MBEYA DC, MBUNGE NJEZA ASHUHUDIA MIKATABA.

    May 24, 2025
  • DALADALA NA BAJAJI FATENI SHERIA - DED ERICA.

    May 29, 2025
  • WAFUNDISHENI PIA ULAJI WA LISHE WATU MAOFISINI RC DKT. HOMERA.

    May 26, 2025
  • Msingwa ateta na Maafisa habari wa Mikoa na Halmashauri

    May 24, 2025
  • Tazama zote

Picha Mwendo

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
Picha mwendo zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MBEYA

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Mahali

Wasiliana nasi

    Mbaliz Road

    Sanduku la posta: 599

    Simu ya mezani: 025-2502260

    Simu ya mkononi: 0762210758

    Baruapepe: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma zetu

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.