• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya Mbeya

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mifugo na uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Ufugaji wa nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Wataalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
      • Taarifa ya fedha
      • Mpango wa Mapato na Matumizi
      • Mapato na Matumizi ya Mwezi
      • Taarifa ya miradi ya maendeleo
      • Taarifa ya fedha ya mwaka
      • Mihtasari ya Mikutano ya Baraza
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Picha mwendo
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

Ujenzi



1.0 UTANGULIZI:

Idara hii ina vitengo vitatu ambavyo ni Majengo,Mitambo,Umeme na Magari.

1.1 DIRA NA MUELEKEO WA IDARA YA UJENZI.

idara inaendelea na itaendelea kusimamia miradi yote inayoipokea ikijumuisha miradi ya majengo na barabara kulingana na mingozo inayotolewa na road fund pamoja na ilani ya chama cha mapinduzi kwa kuzingatia usalama na ubora wa kazi.

2. MALENGO YA IDARA KATIKA UTOAJI WA HUDUMA.

Kuhakikisha miradi yote inayoifikia idara inasimamiwa kwa umakini kwa kuzingatia ubora,usalama katika miradi hiyo ili iendelee kuongeza kasi ya uchumi na manedeleo ya maeneo husika.

3. VITENGO VILIVYOPO NA MAJUKUMU YAKE

3.1 KITENGO CHA MAJENGO.

Idara inaendelea kusimamia miradi ya majengo mbalimbali ya Halmashauri ambayo inatekelezwa katika ngazi ya kata, vijiji na makao makuu ya wilaya.

KITENGO CHA UMEME, MAGARI NA MITAMBO.

Kupitia kitengo hiki idara inaendelea kufuatilia na kusimamia matengenezo mbalimbali ya magari ya halmashauri,mitambo mbalimbali iliyoko makao makuu na ile iliyoko katika kata na vijiji vyetu,pia kufanya matengenezo mbalimbali ya mifumo ya umeme katika majengo na miradi ya halmashauri kama inavyoonekana.

4.MAJUKUMU YA IDARA KWA UJUMLA.

Kusimamia shughuli zote zinazo husu ujenzi ikijumuisha usimamizi,uaandaaji wa makadilio ya miradi tunayoipokea ambayo ni miradi ya barabara na majengo.

Katika miradi ya barabara idara inajukumu la kusimamia na kuandaa makadilio ya matengenezo ya muda maalumu,matengenezo ya kawaida,matengenezo ya sehemu korofi.

Katika miradi ya majengo idara inajukumu la kusimamia miradi hiyo pia kwa miradi midogo idara ianaandaa makdilio ya miradi hiyo.

3.AINA ZA HUDUMA ZINAZOTOLEWA KWA JAMII MARA KWA MARA

Kutoa ushauri wa ujenzi vijijini.

Kuhamasisha wananchi katika utendaji kazi za kujitolea, mfano matengenezo ya sehemu korofi,ujenzi wa madarasa,zahanati n.k.

Kuaandaa makadililio ya miradi mikubwa na midogo ikijumuisha majengo na barabara.

Kusimamia miradi yote ikijumuisha majengo

Matangazo

  • TANGAZO LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA April 29, 2020
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2021 HALMASHAURI YA MBEYA December 19, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA April 23, 2020
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI December 17, 2020
  • Tazama zote

Habari mpya

  • KATEMBA ATANGAZA MATOKEO YA UBUNGE

    October 29, 2020
  • hakikisheni mnafuata sheria, kanuni, miongozo na maelekezo yanayotolewa na tume ya uchaguzi- Katemba

    October 26, 2020
  • wanaorudisha mikopo kwa wakati wakopeshwe vyombo vya usafiri-Chalamila

    July 11, 2020
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MBEYA MMENISAPRIZE-CHALAMILA

    June 20, 2020
  • Tazama zote

Picha Mwendo

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
Picha mwendo zaidi

Viunganishi vya Haraka

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Mahali

Wasiliana nasi

    Mbaliz Road

    Sanduku la posta: 599

    Simu ya mezani: 025-2502260

    Simu ya mkononi: 0762210758

    Baruapepe: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma zetu

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.