• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya Mbeya

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mifugo na uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Ufugaji wa nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Wataalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
      • Taarifa ya fedha
      • Mpango wa Mapato na Matumizi
      • Mapato na Matumizi ya Mwezi
      • Taarifa ya miradi ya maendeleo
      • Taarifa ya fedha ya mwaka
      • Mihtasari ya Mikutano ya Baraza
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Picha mwendo
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

DC MALISA AYATAKA MAKAMPUNI YA UNUNUZI WA PARETO KUJENGA HARAKA SEKONDARI YA WASICHANA KATA YA ILEMBO.

Imewekwa: October 9th, 2023

 SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA PARETO KUANZA 2024

Mkuu wa wilaya Mbeya Mhe Benno Moris Malisa ameyaagiza makampuni yanayojihusisha na ununuzi wa zao la pareto kuharakisha ujenzi wa shule ya sekondari tarajiwa ya wasichana ilianza kujengwa katika halmashauri ya wilaya ya Mbeya vijijini, katika kata ya Ilembo.

Mhe malisa amesema hajaridhishwa na kasi ya ujenzi wa shule hiyo, matarajio ni kuanza kupokea wanafunzi mapema mwakani 2024. “matarajio yetu shule hii ianze kupokea wanafunzi kutoka sehemu mbalimbali ila kwa kasi hii mnatukwamisha, ntarudi tena baada ya wiki mbili” alisema malisa

Mkuu wa wilaya aliongezea kuwa halmashauri ya wilya mbeya isimamie kwa ukaribu mradi huo, na kuwapatia kila kampuni ujenzi wa darasa,maabala na bwalo la chakula na kuhusu vyoo vya wanafunzi halmashauri inatakiwa kuchukua jukum la kuvijenga vyoo hivyo.

Mhe Malisa amemtaka mhandisi wa halmashauri kufatilia upya ugawaji huo ambao awali ulifanyika na kuipa kampuni moja ujenzi wa vyoo, ambapo kampuni hiyo imeomba kubadilishiwa na badala yake kupewa jengo jingine na kuanza ujenzi.

Kufuatia maagizo hayo kaimu Mkurugenzi Mtendaji ndg. Jumanne Chaula kwa niaba ya Mkurugenzi mtengaji ameahidi kuyafanyia kazi  maagizo hayo na ujenzi wa vyoo utaanza.

Makampuni ambayo yanahusika na ujenzi huo ni KATI investiment & shanatec ltd, Dakabemat ltd, tan extrac, maua py, PCT Mafinga  na  Pyteck ltd. 

Mkuu wa wilaya aliwapa nafasi Wananchi wa kata ya ilembo waliojitokeza kwa wingi na kutoa shukrani kwa serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Dkt Samia Hassan Suluhu kwa kuwaletea shule na umeme katika kata hiyo.

Matangazo

  • VITUO VYA KUJIANDIKISHIA ORODHA YA WAPIGA KURA October 11, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA KWA KAZI YA MSAIDIZI WA WATOTO MAHAKAMANI February 02, 2022
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UTOAJI WA ANWANIZA MAKAZI March 04, 2022
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA March 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • KIAPO CHA UTII KWA WAUGUZI MBEYADC

    May 16, 2025
  • BI. ERICA AMEMTEMBELEA ASKALI ALIELAZWA HOSPITALI YA IFISI

    May 08, 2025
  • Mapokezi ya Mhe Mchengerwa MbeyaDc

    April 26, 2025
  • Karibu Mhe. Mchengerwa

    April 25, 2025
  • Tazama zote

Picha Mwendo

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
Picha mwendo zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MBEYA

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Mahali

Wasiliana nasi

    Mbaliz Road

    Sanduku la posta: 599

    Simu ya mezani: 025-2502260

    Simu ya mkononi: 0762210758

    Baruapepe: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma zetu

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.