Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango imefanya ziara ya kukagua miradi ya maendeleo yenye thamani ya shilingi milioni 800 katika kata za Iwindi na Isuto.
Kamati hiyo, inayoongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Aidda C. Haule, imewahimiza wananchi kusimamia na kulinda fedha za Serikali zinazotolewa kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika maeneo yao.
Mbaliz Road
Sanduku la posta: 599
Simu ya mezani: 025-2502260
Simu ya mkononi: 0762210758
Baruapepe: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz
Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.