• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya Mbeya

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mifugo na uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Ufugaji wa nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Wataalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
      • Taarifa ya fedha
      • Mpango wa Mapato na Matumizi
      • Mapato na Matumizi ya Mwezi
      • Taarifa ya miradi ya maendeleo
      • Taarifa ya fedha ya mwaka
      • Mihtasari ya Mikutano ya Baraza
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Picha mwendo
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

MIRADI MBEYA DC IMETEKELEZWA KIKAMILIFU - NAIBU WAZIRI NDEJEMBI.

Imewekwa: September 30th, 2023

Asisitiza Halmashauri nyingine kujifunza kutoka Mbeya DC

Imeelezwa kuwa, miradi mbalimbali ya ujenzi imetekelezwa rasmi na Halmashauri ya Wilaya Mbeya DC ambapo wanafunzi wa Sekondari na Shule ya msingi watapata mazingira rafiki ya kupata elimu katika wilaya hiyo.

Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais Tamisemi Mhe. Deo Ndejembi mara baada ya kutembelea na kukagua maeneo ya ujenzi wa shule hizo leo Septemba 29, 2023.

“Hakika mmefanya kazi kubwa kukamilisha ujenzi wa miradi hii, Maendeleo haya ni makubwa katika kuwezesha wanafunzi wanapata mazingira bora ya elimu yao ya Msingi na Sekondari,” amesema Ndejembi.

Amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya  kazi kubwa kuhakikisha watanzania wanapata fursa mbalimbali ikiwemo mazingira wezeshi katika elimu hapa nchini.

“Mhe. Rais ameleta fedha ya ujenzi hapa na sehemu mbalimbali ya nchi, fedha hizi tuzitumie vizuri katika maendeleo yetu na tumpe pongezi Rais Samia kwa kutuletea fedha katika wilaya yetu kwa ajili ya maendeleo,” amesisitiza Waziri Ndejembi.

Katika hatua nyingine, Waziri Ndejembi amesisitiza Halmashauri nyingine zijifunze kwa kufanya vizuri kama ilivyo halmashauri hii. Amesema Halmashauri hii imefanya vizuri na ni funzo kwa wengine wajifunze.

Amempongeza Murugenzi Mtendaji ndg Stephen E Katemba kwa usimamizi na ufatiliaji mzuri wa miradi hii mikubwa ambayo imegarimu 583,180,028 million.

Ziara hiyo ilihudhuriwa na Viongozi mbalimbali wa Serikali ya wilaya na mkoa huo pamoja na wadau mbalimbali wa maendeleo.

Matangazo

  • VITUO VYA KUJIANDIKISHIA ORODHA YA WAPIGA KURA October 11, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA KWA KAZI YA MSAIDIZI WA WATOTO MAHAKAMANI February 02, 2022
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UTOAJI WA ANWANIZA MAKAZI March 04, 2022
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA March 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • KIAPO CHA UTII KWA WAUGUZI MBEYADC

    May 16, 2025
  • BI. ERICA AMEMTEMBELEA ASKALI ALIELAZWA HOSPITALI YA IFISI

    May 08, 2025
  • Mapokezi ya Mhe Mchengerwa MbeyaDc

    April 26, 2025
  • Karibu Mhe. Mchengerwa

    April 25, 2025
  • Tazama zote

Picha Mwendo

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
Picha mwendo zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MBEYA

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Mahali

Wasiliana nasi

    Mbaliz Road

    Sanduku la posta: 599

    Simu ya mezani: 025-2502260

    Simu ya mkononi: 0762210758

    Baruapepe: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma zetu

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.