• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya Mbeya

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mifugo na uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Ufugaji wa nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Wataalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
      • Taarifa ya fedha
      • Mpango wa Mapato na Matumizi
      • Mapato na Matumizi ya Mwezi
      • Taarifa ya miradi ya maendeleo
      • Taarifa ya fedha ya mwaka
      • Mihtasari ya Mikutano ya Baraza
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Picha mwendo
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

WANAWAKE WAJASIRIAMALI WATAKIWA KURASMISHA BIASHARA ZAO

Imewekwa: April 6th, 2019

Wanawake wajasiriamali Mkoa wa Mbeya wametakiwa kuhakikisha wanarasimisha biashara zao

ilikuweza kujiongezea uhuru katika kufanya kazi zao.

hayo yamebainiwa na Mgeni rasmi afisa biashara wa halmshauri ya wilaya ya Mbeya Bi. Elizabeth

Lyombe wakati wa Kilele cha mafunzo kwa Wajasiriamali Wanawake ya Financial Literacy for Women

Entrepreneurs yaliyofanyika kakita Ukumbi wa Tughimbe jijini Mbeya.

Bi Elizabeth amewapongeza wanawake na waratibu wa mafunzo hayo na kuwahasa

wajasiriamali wanawake kuhakikisha wana rasimisha biashara zao na kuhakikisha wanakuwa na

vitambulisho vya wajasiriamali.

Akijibu kero za Washiriki wa mafunzo hayo bi Elizabeth amesema swala la kukosa mtaji kwa

wajasiriamali Wanawake kwa sasa serikali imeliona hilo na kwenye Halmashauri zetu kupitia

mapato ya ndani kunamiongozo ambayo inatuongoza kutoa mikopo kwa wanawake

“Tuna asilimia 4 za Wanawake asilimia 4 za vijana na asilimia 2 kwa walemavu kwenye hizo

asilimia 4 za mapato ya ndani zinatakiwa zitoke tuwagawie wanawake wajasiriamali wadogo”

mikopo hiyo huwa inatolewa katika vikundi hivyo nawaomba mjiunge kwenye vikundi

ilimuombe mikopo hiyo”Bi Elizabeth

Mafunzo yaliyotolewa na Mandela Washington Fellowship yalishirikisha jumla ya washiriki

151 na kupate elimu juu ya namna ya kutunza fedha kwa kipindi cha wiki 16 lengo ikiwa ni

kuwapa elimu na Kuwajengea Uwezo Wanawake wajasiriamali juu ya elimu ya fedha katika

biashara, Umuhimu wa kutunza kumbukumbu za fedha,kutenganisha fedha ya biashara na fedha za matumizi ya kawaida pamoja na Umuhimu wa kupanga bajeti na namna ya kutengeneza bajeti.

Matangazo

  • VITUO VYA KUJIANDIKISHIA ORODHA YA WAPIGA KURA October 11, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA KWA KAZI YA MSAIDIZI WA WATOTO MAHAKAMANI February 02, 2022
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UTOAJI WA ANWANIZA MAKAZI March 04, 2022
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA March 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • KIAPO CHA UTII KWA WAUGUZI MBEYADC

    May 16, 2025
  • BI. ERICA AMEMTEMBELEA ASKALI ALIELAZWA HOSPITALI YA IFISI

    May 08, 2025
  • Mapokezi ya Mhe Mchengerwa MbeyaDc

    April 26, 2025
  • Karibu Mhe. Mchengerwa

    April 25, 2025
  • Tazama zote

Picha Mwendo

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
Picha mwendo zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MBEYA

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Mahali

Wasiliana nasi

    Mbaliz Road

    Sanduku la posta: 599

    Simu ya mezani: 025-2502260

    Simu ya mkononi: 0762210758

    Baruapepe: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma zetu

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.