• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya Mbeya

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mifugo na uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Ufugaji wa nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Wataalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
      • Taarifa ya fedha
      • Mpango wa Mapato na Matumizi
      • Mapato na Matumizi ya Mwezi
      • Taarifa ya miradi ya maendeleo
      • Taarifa ya fedha ya mwaka
      • Mihtasari ya Mikutano ya Baraza
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Picha mwendo
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

DED KATEMBA AWATAKA WAAJIRIWA WAPYA KUTUNZA SIRI ZA OFISI

Imewekwa: October 30th, 2023

Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya Wilaya Mbeya ndugu Stephen E. Katemba amewataka wafanyakazi walioajiriwa hivi karibuni (ajira mpya) kutunza siri za ofisi, ameyasema hayo leo kabla ya waajiliwa hao kuapa kiapo cha maadili ya utumishi wa umma katika ukumbi mgodo wa halmashauri.

Katemba amesisitiza kuwa kwa kuchaguliwa kuwa Mtunza kumbukumbu au dereva tayari unatakiwa kujifunza kutokuongea chochote kuhusu ofisi yako kwa kufanya hivyo utakuwa umekiuka kiapo unachokula leo na kwa kukiuka kiapo adhabu kali itachukuliwa dhidi yako.

Aidha Mkurugenzi ameongeza kuwa wafanyakazi wafanye kazi kwa uadilifu ili kuzuia taharuki ambayo unaweza kuisababisha kwa kutoa taarifa za serikali kwa mtu ambaye hahusiki “fanyeni kazi kwa uadilifu kama ambavyo mmepewa mafunzo na afisa utumishi, taarifa zote za taasisi anaetakiwa kuzitoa ni mimi mkurugenzi wenu” amesema Katemba.

Mkurugenzi Mtendaji amemshukuru Dkt Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuongeza ajira, “napenda kumshukuru Dkt Mhe Rais wa awamu ya sita (6) mama yetu Samia Suluhu Hassan kwa kutoa ajira, tangu kuingia madarakani ametoa ajira nyingi kwa sababu amona pia kunauhitaji wa rasilimali watu ili kusimamia fedha anazozitoa kwenye miradi katika halmashauri yetu kwa hiyo fanyeni kazi kwa bidii na kwa weredi” amesema katemba.

Katemba ameongeza kuwa anamshukuru sana Mhe Rais kwa kuendelea kuleta fedha katika halmashauri yetu kwa ajili ya maendeleo mbalimbali kama vile miradi ya shule za msingi na sekondari, miradi ya ujezi wa zahanati na vituo vuya afya na ukarabati wa majengo ya zamani kuyaboresha zaidi kwenye halmashauri yetu.

Waajiliwa takribani 30 wa kada mbali mbali wameletwa kwenye halmashauri ya Wilaya ya Mbeya mwezi Septemba hadi Octoba wakiwemo Maafisa Maendeleo ya jamii, Maafisa lishe, wasaidizi wa Mkurugenzi, Afisa habari, Maafisa mazingira na misitu, Maafisa kilimo na madereva.

Ndugu Katemba amewakaribisha wafanyakazi wote wapya na kutaka wafanye kazi kwa kushirikiana (team work) lakini pia upendo utawale ili kuweza kufanya vizuri kwenye kazi na kumsaidia Mhe Rais kwa ngazi walizonazo kufikia malengo ya maendeleo makubwa ya halmashauri yetu.

Matangazo

  • VITUO VYA KUJIANDIKISHIA ORODHA YA WAPIGA KURA October 11, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA KWA KAZI YA MSAIDIZI WA WATOTO MAHAKAMANI February 02, 2022
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UTOAJI WA ANWANIZA MAKAZI March 04, 2022
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA March 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • BARABARA ZA BIL.2+ KUJENGWA MBEYA DC, MBUNGE NJEZA ASHUHUDIA MIKATABA.

    May 24, 2025
  • DALADALA NA BAJAJI FATENI SHERIA - DED ERICA.

    May 29, 2025
  • WAFUNDISHENI PIA ULAJI WA LISHE WATU MAOFISINI RC DKT. HOMERA.

    May 26, 2025
  • Msingwa ateta na Maafisa habari wa Mikoa na Halmashauri

    May 24, 2025
  • Tazama zote

Picha Mwendo

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
Picha mwendo zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MBEYA

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Mahali

Wasiliana nasi

    Mbaliz Road

    Sanduku la posta: 599

    Simu ya mezani: 025-2502260

    Simu ya mkononi: 0762210758

    Baruapepe: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma zetu

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.