• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya Mbeya

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mifugo na uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Ufugaji wa nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Wataalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
      • Taarifa ya fedha
      • Mpango wa Mapato na Matumizi
      • Mapato na Matumizi ya Mwezi
      • Taarifa ya miradi ya maendeleo
      • Taarifa ya fedha ya mwaka
      • Mihtasari ya Mikutano ya Baraza
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Picha mwendo
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

HALMASHAURI YA WILAYA YA MBEYA YAKOPESHA MILIONI 224,248,500 KWA VIJANA NA WANAWAKE

Imewekwa: June 26th, 2019

Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya imetekeleza agizo la serikali la kutenga asilimia kumi kutoka kwenye mapato yake ya ndani kwa kutoa mikopo ya kiasi cha shilingi milioni 224,248,500/= kwa vikundi 14 vya wanawake na Vijana.

Akizungumza katika hafla ya utoaji wa mikopo hiyo Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya Ndg. Stephen E Katemba amesema kuwa kwa awamu hii Halmashauri imetoa vifaa, kama mashine na pikipiki badala ya fedha taslimu ilikuwawezesha wanufaika wa mikopo hiyo kufikia malengo yao sanjali na kurejesha mikopo kwa wakati.

Akizungumza kwenye hafla hii Makamu mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya Mh. Julius Ntokani ameipongeza Halmashauri kwa juhudi za kutenga asilimia kumi za mapato yake ya ndani kwa kukopesha kiasi hicho kwani ni Halmashauri chache zinazoweza kutekeleza agizo hilo.

Ntokani amewataka wale wote walionufaika na mikopo hiyo kuhakikisha wanarejesha kwa wakati ili na wengine waweze kunufaika namikopo hiyo.

“Mikopo hii sio zawadi ama sadaka tunawaomba Mkumbuke kurejesha mikopo hii ilikuwezesha na wengine kunufaika” Ntongani

Aidha Ntongani aliongeza kwa kusema leo tunawakabidhi mikopo hii ila naomba tusiishie hapa tunahitaji kuwatembelea mara kwa mara ilikuweza kujua na kutambua nichangamoto gani wanapitia wanapofanyia shughuli zao,

Katika hafla hiyo jumla ya vikundi 14 vime nufaika na mkopo huku 8 vikiwa vikundi vya wanawake na 6 Vikundi vya vijana.

Matangazo

  • VITUO VYA KUJIANDIKISHIA ORODHA YA WAPIGA KURA October 11, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA KWA KAZI YA MSAIDIZI WA WATOTO MAHAKAMANI February 02, 2022
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UTOAJI WA ANWANIZA MAKAZI March 04, 2022
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA March 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • KIAPO CHA UTII KWA WAUGUZI MBEYADC

    May 16, 2025
  • BI. ERICA AMEMTEMBELEA ASKALI ALIELAZWA HOSPITALI YA IFISI

    May 08, 2025
  • Mapokezi ya Mhe Mchengerwa MbeyaDc

    April 26, 2025
  • Karibu Mhe. Mchengerwa

    April 25, 2025
  • Tazama zote

Picha Mwendo

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
Picha mwendo zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MBEYA

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Mahali

Wasiliana nasi

    Mbaliz Road

    Sanduku la posta: 599

    Simu ya mezani: 025-2502260

    Simu ya mkononi: 0762210758

    Baruapepe: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma zetu

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.