• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya Mbeya

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mifugo na uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Ufugaji wa nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Wataalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
      • Taarifa ya fedha
      • Mpango wa Mapato na Matumizi
      • Mapato na Matumizi ya Mwezi
      • Taarifa ya miradi ya maendeleo
      • Taarifa ya fedha ya mwaka
      • Mihtasari ya Mikutano ya Baraza
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Picha mwendo
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

MAADHIMISHO YA MIAKA 62 YA UHURU TANZANIA BARA YAFANA MBEYADC.

Imewekwa: December 9th, 2023

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya ndugu Stephen E. Katemba aongoza wafanyakazi kupanda miti katika eneo la Halmashauri Iwindi, ikiwa ni katika kuadhimisha miaka 62 ya Uhuru wa Tanzania Bara.

“katika kuadhimisha miaka 62 ya Uhuru napenda kumshukuru Mhe. Dkt Samia Hassan Suluhu kwa kuendelea kuleta fedha kwa ajili ya miradi ya maendeleo kama vile vituo vya afya, zahanati na shule za Sekondari na Msingi” alisema Katemba

Ndugu Stephen aliongeza kuwa miaka 62 ya Uhuru imekuwa ya neema kwa halmashauri ya wilaya ya Mbeya kwa kuletewa fedha billion 2.7 kwa ajili ya ujenzi wa jengo zuri na bora la utawala ambalo ndilo linatumika na wafanyakazi.

Mkurugenzi Mtendaji ameongeza kuwa kwa sasa halmashauri ya Wilaya ya Mbeya kila tarafa inavituo vikubwa sana vya afya. “tunamshukuru Rais Samia H. Suluhu halmashauri ya Wilaya ya Mbeya kila tarafa inakituo cha afaya kikubwa, tukianzia na tarafa ya bonde la usongwe kuna kituo kikubwa kabisa cha afya cha Ikukwa chenye thamani ya shilingi milioni 800 zilizotolewa na Mhe Rais. Kituo hicho kinafanya kazi vizuri na kinasaidia watu wengi sana” alisema Katemba

Ndugu Katemba aliongeza pia halmashauri imepokea milioni 583 kwa ajili ya ujenzi wa shule ya Sekondari Lwanjilo ambapo kata ya Lwanjilo hakuwahi kuwa na shule ya Sekondari tangu kupata uhuru wan chi yetu.

Aidha Mkurugenzi Mtendaji amemshukuru Mhe Dkt Samia ambaye ni Rais na Amiri jeshi Mkuu kwa kuendeleza kudumisha amani na mshikamano ndani nan je ya nchi yetu.

Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya haikuishia kupanda miti tu, sherehe hizi za uhuru zilifatiwa na bonanza la michezo ambapo asubuhi kulikuwa na mchakamchaka na baada ya hapo wafanyakazi walielekea uwanjani kwa ajili ya mchezo wa miguu, pete na mpira wa kikapu katika viwanja vya chou kikuu cha biashara (TIA).

Matangazo

  • VITUO VYA KUJIANDIKISHIA ORODHA YA WAPIGA KURA October 11, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA KWA KAZI YA MSAIDIZI WA WATOTO MAHAKAMANI February 02, 2022
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UTOAJI WA ANWANIZA MAKAZI March 04, 2022
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA March 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • BI. ERICA AMEMTEMBELEA ASKALI ALIELAZWA HOSPITALI YA IFISI

    May 08, 2025
  • Mapokezi ya Mhe Mchengerwa MbeyaDc

    April 26, 2025
  • Karibu Mhe. Mchengerwa

    April 25, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    April 25, 2025
  • Tazama zote

Picha Mwendo

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
Picha mwendo zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MBEYA

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Mahali

Wasiliana nasi

    Mbaliz Road

    Sanduku la posta: 599

    Simu ya mezani: 025-2502260

    Simu ya mkononi: 0762210758

    Baruapepe: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma zetu

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.