• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya Mbeya

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mifugo na uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Ufugaji wa nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Wataalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
      • Taarifa ya fedha
      • Mpango wa Mapato na Matumizi
      • Mapato na Matumizi ya Mwezi
      • Taarifa ya miradi ya maendeleo
      • Taarifa ya fedha ya mwaka
      • Mihtasari ya Mikutano ya Baraza
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Picha mwendo
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

MAFUNDI WAVIVU WATOLEWE

Imewekwa: December 4th, 2018

Mafundi watakao shindwa kumalizia ujenzi wa vituo vya Afya kwa muda uliopangwa watatolewa kwakuwa watakuwa wameshindwa kuendana na kasi ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika halmashauri ya Mbeya.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Mbeya Stephen E Katemba ametoa agizo hilo kwa timu za usimamizi wa ujenzi wa vituo vya Afya wakati alipofanya ukaguzi wa vituo vivyo vya Ilembo na Santilya vinavyo tarajiwa kukamilika kabla ya Disemba 9, 2018.

“Mafundi ambao wapo nyuma walipeni pesa yao waondoke ili wabakie kuja kwenye kutibiwa tu na mahusiano yetu na wao yabaki kwenye matibabu tu”, amesema Katemba

Aidha, Katemba ameziagiza timu za usimamizi kuhakikisha zinasimamia ipasavyo ujenzi huku akitoa siku tatu za kumalizia shughuli zilizo salia ambazo ni upakaji wa rangi kozi moja, kukamilisha mfumo wa umeme na maji.

Ametaka wajumbe wa timu hizo kuto onekana maeneo ya ofisini mpaka shughuli za ujenzi wa vituo hivyo utakapo kamilika na watendaji kuacha tabia ya kufanyakazi pale tu viongozi wanapojitokeza bali usimamizi na uchapakazi uwe endelevu.

“Nikimkuta mjumbe wa kamati hizi ofisini nitamshangaa kuwa anatafuta nini wakati ofisi yake kwa sasa ipo katika ujenzi wa vituo vya Afya na watendaji wenye tabia ya kujifanya wana chapa kazi wakituona viongozi ila tukiondoka na wao wanageuza migongo yao tutaenda nao sambamba”, amebainisha Katemba.

Ujenzi wa Vituo vya Afya vya Ilembo na Santilya katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya vilianza kujegwa mwezi februari mwaka huu ambavyo vimegharamiwa na mfuko wa serikali kuu pamoja na mfuko wa mapato ya ndani ya halmashauri.

 

Matangazo

  • VITUO VYA KUJIANDIKISHIA ORODHA YA WAPIGA KURA October 11, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA KWA KAZI YA MSAIDIZI WA WATOTO MAHAKAMANI February 02, 2022
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UTOAJI WA ANWANIZA MAKAZI March 04, 2022
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA March 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • KIAPO CHA UTII KWA WAUGUZI MBEYADC

    May 16, 2025
  • BI. ERICA AMEMTEMBELEA ASKALI ALIELAZWA HOSPITALI YA IFISI

    May 08, 2025
  • Mapokezi ya Mhe Mchengerwa MbeyaDc

    April 26, 2025
  • Karibu Mhe. Mchengerwa

    April 25, 2025
  • Tazama zote

Picha Mwendo

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
Picha mwendo zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MBEYA

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Mahali

Wasiliana nasi

    Mbaliz Road

    Sanduku la posta: 599

    Simu ya mezani: 025-2502260

    Simu ya mkononi: 0762210758

    Baruapepe: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma zetu

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.