• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya Mbeya

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mifugo na uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Ufugaji wa nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Wataalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
      • Taarifa ya fedha
      • Mpango wa Mapato na Matumizi
      • Mapato na Matumizi ya Mwezi
      • Taarifa ya miradi ya maendeleo
      • Taarifa ya fedha ya mwaka
      • Mihtasari ya Mikutano ya Baraza
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Picha mwendo
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

MBEYA DC YAWATAKA VIJANA KUCHANGAMKIA MIKOPO YA ASILIMIA 10.

Imewekwa: August 2nd, 2025

Afisa Mipango wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya Beatrice Urio, amewataka wananchi hususani vijana kuchangamkia fursa mbalimbali zinazotolewa na Halmashauri ili kukuza mitaji yao na kujikwamua kiuchumi kupitia shughuli wanazozifanya.


Bi. Beatrice Urio amesema hayo kwenye hafla ya utoaji tuzo za wajasiriamali zilizotolewa ndani ya ukumbi wa Tughimbe jijini Mbeya ambapo akimwakilisha Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Mbeya Erica E. Yegella.

 

Akizungumza na washiriki wa shughuli hiyo, Beatrice amesema mikopo inaendelea kutolewa katika Halmashauri zote nchini kutokana na mapato yake ya ndani hivyo ni fursa kwa wananchi kutumia fursa hiyo kukopa na kuendeleza shughuli wanazozifanya ikiwemo biashara na kilimo.


"Mikopo ipo na inaendelea kutolewa katika Halmashauri zote nchini na nyie mmeshaanza, kachukueni mikopo hiyo ili kuongeza uchumi wenu na biashara zenu kukua", amesema Bi Beatrice Urio.


Aidha amempongea Mkurugenzi aliyeanzisha tuzo hizo kwa lengo la kuwainua wajasiliamali na kwanba anaamini mwaka 2026 washiriki w

watakuwa wengi kuliko mwaka huu.


Kwa upande wake mkurugenzi wa Ruvuma Women in Business (RWib) Bi Aneth Anania Nyanyinde amemshukuru Mkurugenzi Mtendaji Bi Erica Yegella kwa kuitikia wito na kutuma mwakilishi ili kushirikiana nao kwenye tukio hilo la aina yake ikiwa limefanyika kwa mara ya kwanza Mbeya likijumuisha wajasiliamali kutoka maeneo ya mikoa ya Mbeya, Songwe na Songea mkoani Ruvuma.

Hafla hiyo ilikuwa na utoaji wa tuzo kwa wajasiliamalia na utoaji wa vyeti kwa wajasiliamali wapya.

Matangazo

  • VITUO VYA KUJIANDIKISHIA ORODHA YA WAPIGA KURA October 11, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA KWA KAZI YA MSAIDIZI WA WATOTO MAHAKAMANI February 02, 2022
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UTOAJI WA ANWANIZA MAKAZI March 04, 2022
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA March 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • MBEYA DC YAWATAKA VIJANA KUCHANGAMKIA MIKOPO YA ASILIMIA 10.

    August 02, 2025
  • DED MBEYA DC AKAGUA UJENZI WA BWENI SHULE YA USONGWE

    August 01, 2025
  • DED ERICA AWAITA WANANCHI MAONYESHO YA NANENANE BANDA LA MBEYA DC.

    August 01, 2025
  • DC ITUNDA AKAGUA MIRADI YA MWENGE MBEYADC

    July 26, 2025
  • Tazama zote

Picha Mwendo

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
Picha mwendo zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MBEYA

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Mahali

Wasiliana nasi

    Mbaliz Road

    Sanduku la posta: 599

    Simu ya mezani: 025-2502260

    Simu ya mkononi: 0762210758

    Baruapepe: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma zetu

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.