• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya Mbeya

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mifugo na uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Ufugaji wa nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Wataalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
      • Taarifa ya fedha
      • Mpango wa Mapato na Matumizi
      • Mapato na Matumizi ya Mwezi
      • Taarifa ya miradi ya maendeleo
      • Taarifa ya fedha ya mwaka
      • Mihtasari ya Mikutano ya Baraza
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Picha mwendo
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

MKURUGENZI: WALIMU ZINGATIENI USALAMA WA TAARIFA MTANDAONI

Imewekwa: February 9th, 2026

Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya imewaagiza walimu wa Hesabu kuacha tabia ya kutumia namba zao za siri katika steshenari za kompyuta (stationary), kwani haitoi usalama wa kutosha na inaweza kusababisha wizi wa taarifa bila wao kufahamu.

Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya, Bi. Yegella, wakati akifungua mafunzo ya siku moja kuhusu matumizi ya mfumo wa FFAIRS kwa walimu wa hesabu.

Akizungumza na walimu hao, Bi. Yegella amesema kuwa tabia ya kuandika au kutoa namba za siri ndani ya steshenari ni hatari na sio salama.

“Walimu wengi wanatoa namba zao za siri katika steshenari, jambo ambalo si zuri na linaweza kusababisha wizi bila wao kufahamu,” alisema Bi. Yegella.

Bi. Yegella amesema lengo la mafunzo hayo ni kuwajengea walimu uelewa sahihi wa kutumia mifumo ya kidigitali kwa njia salama, hasa wakati wa kuingiza taarifa za hesabu na takwimu za shule kwenye mfumo wa FFAIRS.

Aidha, amewataka walimu kukumbatia taratibu za usalama wa taarifa ili kulinda data za shule na wanafunzi dhidi ya matumizi mabaya au upotevu wa taarifa muhimu.

Mafunzo ya siku moja yanahusisha maelekezo ya kinaga ubaga juu ya namna ya kuingia na kutumia mfumo wa FFAIRS kwa ufanisi bila kuathiri usalama wa taarifa. Walimu waliohudhuria mafunzo hayo wameonyesha kuridhika na maarifa mapya waliyopata, na kusema yatasaidia katika utekelezaji wa majukumu yao ya kazi.

Matangazo

  • VITUO VYA KUJIANDIKISHIA ORODHA YA WAPIGA KURA October 11, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA KWA KAZI YA MSAIDIZI WA WATOTO MAHAKAMANI February 02, 2022
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UTOAJI WA ANWANIZA MAKAZI March 04, 2022
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA March 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • DCC YAPITISHA RASIMU YA BAJETI MWAKA WA FEDHA 2026/2027

    February 10, 2026
  • MKURUGENZI: WALIMU ZINGATIENI USALAMA WA TAARIFA MTANDAONI

    February 09, 2026
  • MBEYA DC YALAZIMISHWA SARE MECHI YA KIRAFIKI DHIDI YA MUST

    February 07, 2026
  • RUZUKU YA MICHE YA KAHAWA YA SAMIA YAZIDI KUTIKISA MBEYA DC

    February 05, 2026
  • Tazama zote

Picha Mwendo

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
Picha mwendo zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MBEYA

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Mahali

Wasiliana nasi

    Mbaliz Road

    Sanduku la posta: 599

    Simu ya mezani: 025-2502260

    Simu ya mkononi: 0762210758

    Baruapepe: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma zetu

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.