• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya Mbeya

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mifugo na uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Ufugaji wa nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Wataalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
      • Taarifa ya fedha
      • Mpango wa Mapato na Matumizi
      • Mapato na Matumizi ya Mwezi
      • Taarifa ya miradi ya maendeleo
      • Taarifa ya fedha ya mwaka
      • Mihtasari ya Mikutano ya Baraza
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Picha mwendo
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

MRADI WA PS3 WAENDESHA MAFUNZO ELEKEZI KWA WAHESHIMIWA MADIWANI WA MKOA WA MBEYA

Imewekwa: May 12th, 2017

Mradi wa kuimarisha mifumo katika sekta za umma (PSE) umeendesha mafunzo ya siku mbili kwa waheshimiwa madiwani wa Mkoa wa Mbeya tarehe 11 Mei 2017 na tarehe 12 Mei 2017. Akiongea wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mh. Paul Ntinika akimwakilisa Mkuu wa Mkoa Mh. Amos Makalla amewataka Waheshimiwa Madiwani kutumia mafunzo elekezi hayo kama yalivyokusudiwa kwa kuhakikisha wanapata uelewa na maarifa kuhusu uendeshaji wa Serikali za Mitaa, pamoja na wajibu na majukumu yao katika kusimamia uendeshaji wa Mamlaka hizo.

Pia Mh. Ntinika amewashukuru wafadhili wa mradi huo kuleta mafunzo hayo katika Halmashauri za Mkoa wa Mbeya kwani mafunzo hayo yanalenga kuinua uwajibikaji kwa waheshimiwa madiwani ili wawasimamie vizuri wataalamu katika kuwatumikia wananchi.

Naye Mh. Mwalingo Kisemba, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya amesema kuwa wao kama Waheshimiwa Madiwani wamenufaika na mafunzo hayo kwani yamewaongezea mbinu na maarifa katika kusimamia miradi ya maendeleo na pia yamewasaidia kuelewa mipaka yao kwa mujibu wa kanuni, taatibu na sheria zilizopo.

Pia Mh. Kisemba ametoa rai kwa serikali kuwa ni vyema mafunzo haya yakawa endelevu kwani kwa mujibu wa sheria udiwani unakoma kila baada ya miaka mitano. Na akashauri kwa awamu ijayo yaani mwaka 2020 ni vyema mafunzo hayo yakatolewea punde tu  waheshimiwa madiwani wanapoapishwa ili wasipate tabu katika kutekeleza majukumu yao.

Mradi wa PS 3 unafadhiliwa na Watu wa Marekani chini ya Shirika la Kimataifa la Maendeleo (USAID). Dr. Peter Kilima Mkurugenzi wa Mradi wa PS 3 amesema kuwa mradi huu ni mradi wa miaka mitano ambao umeanza kutekelezwa mwaka 2015 hadi mwaka 2020.

Pia Dr. Kilima amesema kuwa mradi huu unatekelezwa katika Halmashauzi za mikoa 13 ukiwemo mkoa wa Mbeya. Amesema pamoja na kazi nyingine za kuimarisha mifumo ya sekta ya umma pia mradi umelenga kuwajengea uwezo waheshimiwa madiwani ili waweze kuzisimamia ipasavyo Halmashauri zao.

Matangazo

  • VITUO VYA KUJIANDIKISHIA ORODHA YA WAPIGA KURA October 11, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA KWA KAZI YA MSAIDIZI WA WATOTO MAHAKAMANI February 02, 2022
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UTOAJI WA ANWANIZA MAKAZI March 04, 2022
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA March 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • BARABARA ZA BIL.2+ KUJENGWA MBEYA DC, MBUNGE NJEZA ASHUHUDIA MIKATABA.

    May 24, 2025
  • DALADALA NA BAJAJI FATENI SHERIA - DED ERICA.

    May 29, 2025
  • WAFUNDISHENI PIA ULAJI WA LISHE WATU MAOFISINI RC DKT. HOMERA.

    May 26, 2025
  • Msingwa ateta na Maafisa habari wa Mikoa na Halmashauri

    May 24, 2025
  • Tazama zote

Picha Mwendo

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
Picha mwendo zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MBEYA

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Mahali

Wasiliana nasi

    Mbaliz Road

    Sanduku la posta: 599

    Simu ya mezani: 025-2502260

    Simu ya mkononi: 0762210758

    Baruapepe: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma zetu

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.