• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya Mbeya

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mifugo na uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Ufugaji wa nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Wataalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
      • Taarifa ya fedha
      • Mpango wa Mapato na Matumizi
      • Mapato na Matumizi ya Mwezi
      • Taarifa ya miradi ya maendeleo
      • Taarifa ya fedha ya mwaka
      • Mihtasari ya Mikutano ya Baraza
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Picha mwendo
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

UTEKELEZAJI WA MIRADI MBEYADC HAKUNA KILICHO SIMAMA.. AHSANTE MAMA.

Imewekwa: December 20th, 2023

Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya imeendelea kutekeleza ujenzi wa miradi mbali mbali ya maendeleo ikiwemo miradi ya shule za Sekondari ambazo zimepatiwa fedha kutoka Serikali Kuu na SEQUIP. Kwa ajili ya ujenzi wa madarasa, ofisi, vyoo na maabara.

Shule zilizopatiwa fedha hizo ni pamoja na Songwe ambapo wamepatiwa milioni 100 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya  Madarasa, vyoo na ofisi moja ya walimu. Shule ya Sekondari Songwe ipo katika kata ya Bonde la Usongwe katika halmashauri ya Wilaya ya Mbeya.

Shule ya Sekondari Songwe inatarajia kuanzisha kidato cha tano ifikapo Julai 2024 ambapo itapokea wanafunzi wa kwanza wa kidato cha tano shuleni hapo.

Aidha shule ya Isuto yenye kidato cha kwanza adi cha nne pia imepatiwa fedha kiasi cha shilingi milioni 50 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa na ofisi moja ya walimu. Madarasa hayo yatatumiwa na kidato cha tano wanaoanza Julai 2024.

Halmashauri ya wilaya ya Mbeya imepatiwa fedha za kuendeleza kujenga madarasa mengine mawili katika shule mpya ya Sekondari Iyawaya inayojengwa kwa fedha za SEQUIP wameongeza madarasa mawili ili kutumika kwa wanafunzi watakao chaguliwa kujiunga na shule hii kidato cha kwanza. Shule ya Sekondari Iyawaya hadi sasa inawanafunzi wa kidato cha pili na chakwanza watakaoanza mwezi wa kwanza.

Pia MbeyaDC wamepatiwa fedha za SEQUIP milioni 55 kwa ajili ya ujenzi wa maabara na madarasa katika shule ya Sekondari Iyelanyala ambapo wanategemea kupokea wanafunzi walio chaguliwa kujiunga na shule hii.

Matangazo

  • VITUO VYA KUJIANDIKISHIA ORODHA YA WAPIGA KURA October 11, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA KWA KAZI YA MSAIDIZI WA WATOTO MAHAKAMANI February 02, 2022
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UTOAJI WA ANWANIZA MAKAZI March 04, 2022
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA March 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • BARABARA ZA BIL.2+ KUJENGWA MBEYA DC, MBUNGE NJEZA ASHUHUDIA MIKATABA.

    May 24, 2025
  • DALADALA NA BAJAJI FATENI SHERIA - DED ERICA.

    May 29, 2025
  • WAFUNDISHENI PIA ULAJI WA LISHE WATU MAOFISINI RC DKT. HOMERA.

    May 26, 2025
  • Msingwa ateta na Maafisa habari wa Mikoa na Halmashauri

    May 24, 2025
  • Tazama zote

Picha Mwendo

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
Picha mwendo zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MBEYA

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Mahali

Wasiliana nasi

    Mbaliz Road

    Sanduku la posta: 599

    Simu ya mezani: 025-2502260

    Simu ya mkononi: 0762210758

    Baruapepe: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma zetu

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.