• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya Mbeya

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mifugo na uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Ufugaji wa nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Wataalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
      • Taarifa ya fedha
      • Mpango wa Mapato na Matumizi
      • Mapato na Matumizi ya Mwezi
      • Taarifa ya miradi ya maendeleo
      • Taarifa ya fedha ya mwaka
      • Mihtasari ya Mikutano ya Baraza
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Picha mwendo
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

WATUMISHI MBEYA DC WAPEWA SOMO KUHUSU AFYA YA AKILI

Imewekwa: February 17th, 2026

Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya leo Februari 17, 2026 wamepatiwa mafunzo maalum kuhusu afya ya akili na magonjwa yasiyoambukiza katika ukumbi wa Halmashauri.

Mafunzo hayo yametolewa na Dkt. Garvin Kweka kutoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, yakilenga kuongeza uelewa kuhusu umuhimu wa kutunza afya ya akili, kutambua dalili za awali za changamoto za kisaikolojia pamoja na mbinu za kujikinga na magonjwa yasiyoambukiza kama vile kisukari, shinikizo la damu, saratani na magonjwa ya moyo.

Akizungumza wakati wa mafunzo hayo, Dkt. Kweka alisisitiza kuwa afya ya akili ni sehemu muhimu ya ustawi wa mtumishi na ina mchango mkubwa katika kuongeza ufanisi kazini. Aidha, aliwahimiza watumishi kuzingatia mtindo bora wa maisha unaojumuisha lishe sahihi, mazoezi ya mara kwa mara, kupunguza msongo wa mawazo na kufanya uchunguzi wa afya mara kwa mara.

Mafunzo hayo ni sehemu ya juhudi za halmashauri katika kuboresha ustawi wa watumishi wake na kuhakikisha wanatoa huduma bora kwa wananchi.

Matangazo

  • VITUO VYA KUJIANDIKISHIA ORODHA YA WAPIGA KURA October 11, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA KWA KAZI YA MSAIDIZI WA WATOTO MAHAKAMANI February 02, 2022
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UTOAJI WA ANWANIZA MAKAZI March 04, 2022
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA March 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • MBEYA DC YAWASILISHA MUONGOZO URATIBU VYAMA VYA WATU WENYE ULEMAVU

    February 18, 2026
  • WATUMISHI MBEYA DC WAPEWA SOMO KUHUSU AFYA YA AKILI

    February 17, 2026
  • ZALISHENI MBEGU KWA AJILI YA WAKULIMA – MWINUKA

    February 18, 2026
  • REA KUSAMBAZA UMEME VITONGOJI 114 MBEYA DC MAPEMA MWAKA HUU

    February 13, 2026
  • Tazama zote

Picha Mwendo

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
Picha mwendo zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MBEYA

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Mahali

Wasiliana nasi

    Mbaliz Road

    Sanduku la posta: 599

    Simu ya mezani: 025-2502260

    Simu ya mkononi: 0762210758

    Baruapepe: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma zetu

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.