• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya Mbeya

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mifugo na uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Ufugaji wa nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Wataalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
      • Taarifa ya fedha
      • Mpango wa Mapato na Matumizi
      • Mapato na Matumizi ya Mwezi
      • Taarifa ya miradi ya maendeleo
      • Taarifa ya fedha ya mwaka
      • Mihtasari ya Mikutano ya Baraza
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Picha mwendo
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

ZALISHENI MBEGU KWA AJILI YA WAKULIMA – MWINUKA

Imewekwa: February 18th, 2026

Mkuu wa Divisheni ya Kilimo, Cuthbert Mwinuka, amezitataka kampuni zinazojihusisha na zao la pareto kuzalisha mbegu bora na kuzisambaza kwa wakulima ili kuongeza ubora na tija ya pareto inayozalishwa Mbeya.

Mwinuka alitoa wito huo wakati wa kikao chake na kampuni tisa (9) zinazonunua zao la pareto kutoka kwa wakulima wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya. Alisema kuwa uzalishaji wa mbegu bora utasaidia kuinua kiwango cha uzalishaji, kuboresha ubora wa mazao na kuongeza kipato kwa wakulima.

“Ni muhimu kampuni hizi zikishiriki kikamilifu katika mnyororo wa thamani kwa kuzalisha mbegu bora na kuwafikishia wakulima kwa wakati. Hii itasaidia kupata pareto yenye ubora zaidi na yenye ushindani kwenye soko,” alisema Mwinuka.

Mbali na hilo, aliwataka wawakilishi wa kampuni hizo kuhakikisha wanalipia ushuru wa zao ili wapate vibali vya usafirishaji na kuondoa usumbufu usio wa lazima katika shughuli za ununuzi wa zao hilo.

Aidha, Mwinuka alisisitiza umuhimu wa kutoa elimu kwa wakulima kuhusu njia bora za utunzaji wa zao la pareto kuanzia vitaluni, shambani hadi wakati wa mavuno na ukaushaji akieleza kuwa hatua hiyo itasaidia kudumisha ubora wa zao hilo na kuongeza thamani yake soksokon.

Kampuni zilizoshiriki kikao hicho ni Paytech, PCLT, Anda Ltd na mengine sita yanayojihusisha na ununuzi na usindikaji wa pareto katika Wilaya ya Mbeya.

Hatua hiyo inatarajiwa kuimarisha sekta ya pareto na kuongeza mchango wake katika uchumi wa wakulima pamoja na taifa kwa ujumla.

Matangazo

  • VITUO VYA KUJIANDIKISHIA ORODHA YA WAPIGA KURA October 11, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA KWA KAZI YA MSAIDIZI WA WATOTO MAHAKAMANI February 02, 2022
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UTOAJI WA ANWANIZA MAKAZI March 04, 2022
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA March 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • MBEYA DC YAWASILISHA MUONGOZO URATIBU VYAMA VYA WATU WENYE ULEMAVU

    February 18, 2026
  • WATUMISHI MBEYA DC WAPEWA SOMO KUHUSU AFYA YA AKILI

    February 17, 2026
  • ZALISHENI MBEGU KWA AJILI YA WAKULIMA – MWINUKA

    February 18, 2026
  • REA KUSAMBAZA UMEME VITONGOJI 114 MBEYA DC MAPEMA MWAKA HUU

    February 13, 2026
  • Tazama zote

Picha Mwendo

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
Picha mwendo zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MBEYA

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Mahali

Wasiliana nasi

    Mbaliz Road

    Sanduku la posta: 599

    Simu ya mezani: 025-2502260

    Simu ya mkononi: 0762210758

    Baruapepe: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma zetu

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.