• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Mbeya District Council
Mbeya District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya Mbeya

  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mifugo na uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi
      • Ufugaji wa nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Wataalamu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
      • Taarifa ya fedha
      • Mpango wa Mapato na Matumizi
      • Mapato na Matumizi ya Mwezi
      • Taarifa ya miradi ya maendeleo
      • Taarifa ya fedha ya mwaka
      • Mihtasari ya Mikutano ya Baraza
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
      • Mwongozo wa Matumizi ya Vifaa vya TEHAMA
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Picha mwendo
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

ZIARA YA SIKU TATU YA KAMATI YA SIASA WILAYA YA MBEYA VIJIJINI.

Imewekwa: February 28th, 2024

Kamati ya siasa ya wilaya ya Mbeya imefanya ziara ya siku tatu kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa na halmashauri ya wilaya ya Mbeya ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa ilani ya chama cha mapinduzi (CCM)

Kamati ya siasa ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ndugu Ackim S. Mwalupindi wametembelea Zahanati ya Idimi iliopo kata ya Ihango na kujionea ujenzi wa Zahanati hiyo ilojengwa kwa nguvu za wananchi na kuwezeshwa umaliziaji na Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya.

Aidha kamati imetembelea kuona Barabara ya Isyonje-Kikondo ambayo inatarajiwa kutengenezwa kwa kiwango cha lami katika kata ya Ilungu. Pia kamati ilitembelea kituo cha Afya Ilungu na kukagua jengo la mama na mtoto ambalo tayari limeanza kutumika.

Kituo cha Afya cha Ilungu wamepatiwa gari la kubebea wagonjwa na Mkurugenzi Mtendaji ndugu Stephen E. Katemba kufuatia umbali wa huduma kutoka Ilungu hadi Hospitali kubwa ya Ifisi.

Kamati ya siasa ilitembelea pia shule ya Msingi Shilanga, ni miongoni mwa shule kongwe na yenye ufaulu mzuri,mpango mkakati wa halmashauri ni kukarabati shule kongwe zote za halmashauri ya Wilaya ya Mbeya kidogo kidogo. Mkurugenzi Mtendaji ametoa ndoo saba za rangi ili kuboresha na kupendezesha shule hiyo.

Pia kamati ilitembelea shamba la parachichi la halmashauri lililopo Itewe, mradi wa ujenzi wa shule tarajiwa ya Sekondari Ihombe,mradi wa nyumba za wakuu wa idara na mradi wa ujenzi wa bweni la Watoto wenye ulemavu liliopo kata ya Nsalala.

Matangazo

  • VITUO VYA KUJIANDIKISHIA ORODHA YA WAPIGA KURA October 11, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA KWA KAZI YA MSAIDIZI WA WATOTO MAHAKAMANI February 02, 2022
  • TANGAZO LA ZOEZI LA UTOAJI WA ANWANIZA MAKAZI March 04, 2022
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA March 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • KIAPO CHA UTII KWA WAUGUZI MBEYADC

    May 16, 2025
  • BI. ERICA AMEMTEMBELEA ASKALI ALIELAZWA HOSPITALI YA IFISI

    May 08, 2025
  • Mapokezi ya Mhe Mchengerwa MbeyaDc

    April 26, 2025
  • Karibu Mhe. Mchengerwa

    April 25, 2025
  • Tazama zote

Picha Mwendo

"Wapo Wakuu wa Idara na Vitengo wakiamishwa watu wanafanya sherere" Waitara Naibu waziri TAMISEMI
Picha mwendo zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MBEYA

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya mkoa wa Mbeya

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Mahali

Wasiliana nasi

    Mbaliz Road

    Sanduku la posta: 599

    Simu ya mezani: 025-2502260

    Simu ya mkononi: 0762210758

    Baruapepe: ded@mbeyadc.go.tz/info@mbeyadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani elekezi
    • Huduma zetu

Copyright ©2018 Mbeya District Coucil . All rights reserved.