Imewekwa: November 3rd, 2017
Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI anayeshughulika na utawala Mhe George Joseph Kakunda Ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo. Mhe Kakunda am...
Imewekwa: October 31st, 2017
Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya imezindua mpango Mkakati wa elimu kwa shule za msingi wenye lengo la kuinua ufaulu kutoka asilimia 61.4 ya mwaka 2017 hadi asilimia 93 kwa mwaka 2018. Akizindua mp...
Imewekwa: October 23rd, 2017
Ubalozi wa Poland nchini Tanzania amekabidhi msaada wa vifaa vyenye thamani ya Shilingi Milioni 139 kwa Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya kwa ajili ya sekta za Afya na Elimu katika Kata ya Ilungu.
Vif...